January amvaa Kingunge, asema anakivuruga chama (CCM)

January amvaa Kingunge, asema anakivuruga chama (CCM)

Hili lina-confirm kauli zangu za nyuma kuhusu January. Amezoea Kubwebwa!hivyo lazima atetee mchakato uliotumika kumbeba magufuli. NI kipofu tu ndio anaweza sema Magufuli hajabebwa. Binafsi Sina tatizo kubwa sana na Magufuli, lakini kutamka kuwa mchakato wa kumfikisha pale alipo ulikuwa sahihi, basi huyu Makamba amedhihirisha kuwa Uamuzi wa watu wa Bumbuli kumuweka pembeni 2015 ni wasahihi kabisa(YES, i said it here, huyu bwana mdogo, kupenya ubunge 2015 ni hadithi nzito, kwani, fitna alizotumia kupita bila kupingwa 2010,haziwezi fanya kazi 2015. Asiposhindwa ndani ya CCM, basi UKAWA watachukua jimbo mapema sana, kwani wagosi wamemchoka). Naona Plan B yake, imekuwa Makonda, Nape style, ya kupayuka na kuwa lapdog wa wakubwa, huku akijipendekeza kwa Magufuli, ili afikiriwe hata ubunge wa viti maalum, baada ya kutolewa mbio Bumbuli.

Makamba, najua timu yako inasoma hapa,It's now hightime for once in your life to stand by yourself, It's a shame a 40+ chap, still has to depend of favours and backup from his parent just as you have for your entire life.

Your father can't push for you forever, and your godfather (JK) is fast approaching retirement..,Stand on your own and actually EARN something. This spoonfeeding has to stop. You know you did not deserve to be Bumbuli MP, you know you did not deserve to be in the top 5 ahead of the likes of Mwandosya, Mahiga or even Mwigulu(who despite receiving absolutely minimum political help,has achieved way more than you).

STAND ON YOUR OWN, LIKE A REAL MAN.
 
Wamawia ndo hupenda kutumia "h" badala ya "u"...?

Husiendelee= Usindelee

Ninachoona wewe ndio unafikiri ndani ya box and not outside...

Kwa hapo naona umejionyesha ninani,nahamia monduli kuwapikea madiwani woote,wenye viti woote wa mitaa na tukitoka huko tunaingia kilimanjaro
 
Hili lina-confirm kauli zangu za nyuma kuhusu January. Amezoea Kubwebwa!hivyo lazima atetee mchakato uliotumika kumbeba magufuli. NI kipofu tu ndio anaweza sema Magufuli hajabebwa. Binafsi Sina tatizo kubwa sana na Magufuli, lakini kutamka kuwa mchakato wa kumfikisha pale alipo ulikuwa sahihi, basi huyu Makamba amedhihirisha kuwa Uamuzi wa watu wa Bumbuli kumuweka pembeni 2015 ni wasahihi kabisa(YES, i said it here, huyu bwana mdogo, kupenya ubunge 2015 ni hadithi nzito, kwani, fitna alizotumia kupita bila kupingwa 2010,haziwezi fanya kazi 2015. Asiposhindwa ndani ya CCM, basi UKAWA watachukua jimbo mapema sana, kwani wagosi wamemchoka). Naona Plan B yake, imekuwa Makonda, Nape style, ya kupayuka na kuwa lapdog wa wakubwa, huku akijipendekeza kwa Magufuli, ili afikiriwe hata ubunge wa viti maalum, baada ya kutolewa mbio Bumbuli.

Makamba, najua timu yako inasoma hapa,It's now hightime for once in your life to stand by yourself, It's a shame a 40+ chap, still has to depend of favours and backup from his parent just as you have for your entire life.

Your father can't push for you forever, and your godfather (JK) is fast approaching retirement..,Stand on your own and actually EARN something. This spoonfeeding has to stop. You know you did not deserve to be Bumbuli MP, you know you did not deserve to be in the top 5 ahead of the likes of Mwandosya, Mahiga or even Mwigulu(who despite receiving absolutely minimum political help,has achieved way more than you).

STAND ON YOUR OWN, LIKE A REAL MAN.

Umechonga sana ila ni opinions. Hakuna substantive evidence. Bumbuli pako wazi sasa, kachukueni form tuone basi kama kabebwa. Kila kitu akifanya JM nyie watu hakiwatoshi. Hata akishusha mwezi hapa bado mtachonga. Unavyosema hakustahili kuingia Top 5, hivi umefuatilia mchakato wa wadhamini wewe? Mgombea gani alikuwa na dira inayotekelezeka zaidi ya www.tanzaniampya.com ya Makamba? Kachaguliwa kuwa mjumbe wa ilani ya CCM na umeona ilani ilivyonyooka? Mwigulu na hao kina Mahiga wametoa speech kuliko ile ya JM kwenye kutangaza nia?

Mchukieni sawa, ila usiseme kwamba hajafanya kitu. Wewe umeona kazi ya Bumbuli miaka mitano iliyopita? Mnafeli sana nyie watu.
 
Makamba kasema kweli Mzee Kingunge anakivuruga chama. Tunajua kwamba alikuwa na madeni, kalipiwa na Lowassa ndio anatetea tumbo. Msikose ujasiri wa kusema ukweli nyie watu. Mnakuwa wanafki tu.
 
Umechonga sana ila ni opinions. Hakuna substantive evidence. Bumbuli pako wazi sasa, kachukueni form tuone basi kama kabebwa. Kila kitu akifanya JM nyie watu hakiwatoshi. Hata akishusha mwezi hapa bado mtachonga. Unavyosema hakustahili kuingia Top 5, hivi umefuatilia mchakato wa wadhamini wewe? Mgombea gani alikuwa na dira inayotekelezeka zaidi ya www.tanzaniampya.com ya Makamba? Kachaguliwa kuwa mjumbe wa ilani ya CCM na umeona ilani ilivyonyooka? Mwigulu na hao kina Mahiga wametoa speech kuliko ile ya JM kwenye kutangaza nia?

Mchukieni sawa, ila usiseme kwamba hajafanya kitu. Wewe umeona kazi ya Bumbuli miaka mitano iliyopita? Mnafeli sana nyie watu.

Hee Selemani vipi kwanini usimchukue kwenye hicho chama chako cha wasaliti? January Makamba my a$$$$! Kafanya nini huyu zaidi ya kujiweka kimbelembele na kujikombakomba tu. Hajafanya lolote na hastali kuwa mbunge sembuse naibu waziri. Halafu ameshasoma upepo anaanza kujisogeza kwa Magufuli ili amkumbuke... Ufisadi wote uliotokea amekuwa kimya leo ndio znajifanya kijipendekeza
 
Umechonga sana ila ni opinions. Hakuna substantive evidence. Bumbuli pako wazi sasa, kachukueni form tuone basi kama kabebwa. Kila kitu akifanya JM nyie watu hakiwatoshi. Hata akishusha mwezi hapa bado mtachonga. Unavyosema hakustahili kuingia Top 5, hivi umefuatilia mchakato wa wadhamini wewe? Mgombea gani alikuwa na dira inayotekelezeka zaidi ya www.tanzaniampya.com ya Makamba? Kachaguliwa kuwa mjumbe wa ilani ya CCM na umeona ilani ilivyonyooka? Mwigulu na hao kina Mahiga wametoa speech kuliko ile ya JM kwenye kutangaza nia?

Mchukieni sawa, ila usiseme kwamba hajafanya kitu. Wewe umeona kazi ya Bumbuli miaka mitano iliyopita? Mnafeli sana nyie watu.

Naona Bwana Makamba umekuja kunijibu mwenyewe.I know this ID a while back, so am pretty sure whevenver i reply to this ID, i am talking to January himself.

Sijasema Januari haukuwa na Dira,Dira ni kitu chepesi sana kuwa nacho, anyone in your position could solicit a few well placed opinions to construct a vision.
Timu yako nzima ilifanya vizuri kwenye mchakato wa kutangaza nia, etc etc, you invested a lot in PR, ukasahau kuwa uongozi sio PR.Kama walikuweka top 5 kwa kuwa ulikuwa na PR nzuri, labda, lakini kila mtu anajua kwa nini uliwekwa pale, you were a double edged pawn. elevating you to a higher status while making sure there was a lightweight complimentary candidate that will simplify voting.

Kwa hiyo kutoa speech nzuri ndio kigezo cha kuingia top 5?someone please get magufuli outta there.,last time i checked hakusema chochote, zaidi ya kusema atafuata ilani, does it make you January a better candidate than Magufuli, obviously NOT.

Accept ukweli kuwa wazee wamejitahidi kukubeba, shida yangu na wewe, ni kutobebeka. political capital iliyotumika kwako, you were supposed to do much more than what you have done.

Kuhusu Ilani ya CCM, wewe utakuwa JUHA wa kwanza kujisifia utendaji kwa ubora wa mipango, umesahau kuwa hata jamaa zako CCM walikuwa na mipango ya maisha bora kwa kila mtanzania?kimeishia wapi?

Mwisho kabisa, hakuna la maana ulilofanya BUMBULI,na nina imani hawarudii kosa la kumuonea aibu mzee Makamba,wala ukiwa naibu waziri, zaidi ya kuboronga kila kukicha, upuuzi wenu wa cybercrime, na simcard tax, ulidhihirisha ni jinsi gani ulikuwa waste of space for such a young fella.
 
Makamba kasema kweli Mzee Kingunge anakivuruga chama. Tunajua kwamba alikuwa na madeni, kalipiwa na Lowassa ndio anatetea tumbo. Msikose ujasiri wa kusema ukweli nyie watu. Mnakuwa wanafki tu.

Anachokifanya Kingunge, ni kile alichoshindwa kukifanya kwenye kila uchaguzi wakati CCM ikifanya faulo za waziwazi. komedi zenu za DODOMA dunia nzima imeziona, kura kupigwa usiku na kuhesabiwa asubuhi, huku wagombea wakikatwa kwa matakwa ya mwenyekiti.

anachokisema Kingunge, kuna wagombea si chini ya 20 wanatamani kukisema, sema maslahi na matumbo yao yanawasuta, kwani ukishaendekeza tumbo kuzidi kipimo, kila kitu huwa hewala.

Kingunge ana maslahi yake pia, lakini tusidanganyane kuwa kuna hata kimoja alichosema ni cha uongo. KINGUNGE ameongea UKWELI MTUPU. ni vile watanzania hawakuzoea kuusikia huu ukweli kutoka kwa kiongozi mwandamizi wa zamani wa CCM wa muda mrefu.mtu aliyekaa ikulu kwa muda mrefu kujua nini na nini kinafanyika vipi.

Samahani, it's obvious kati ya kingunge na January, Kingunge knows a whole lot more about CCM than Januari and his father combined
 
Wale vijana waliokuwa wanamfagilia January Makamba. Haya kijan wenu huo anatetea ukiukwaji wa katiba yao wanaCCM.
Wazee wamesema khs umuhimu wa kuisimamia na kuifuata katiba yao wanaCCM. WanaCCM msiwe km TLP.
 
Wale vijana waliokuwa wanamfagilia January Makamba. Haya kijan wenu huo anatetea ukiukwaji wa katiba yao wanaCCM.
Wazee wamesema khs umuhimu wa kuisimamia na kuifuata katiba yao wanaCCM. WanaCCM msiwe km TLP.
Hivi na wewe ni binadamu au ni mtu?
 
Huyu rais wa wanyoa viara nae anasema nni ati???
Kwanza atuambie kwanni aliiba mtihani wa form four???
SINA IMANI NA UKAWA
 
Makamba kasema kweli Mzee Kingunge anakivuruga chama. Tunajua kwamba alikuwa na madeni, kalipiwa na Lowassa ndio anatetea tumbo. Msikose ujasiri wa kusema ukweli nyie watu. Mnakuwa wanafki tu.

January mtoto wa juzi hawezi kupimana na lowasa .kubebwa kumefikia mwisho wake !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom