Kambigoha
Member
- Jul 17, 2015
- 66
- 10
- Thread starter
- #61
Kawaida ya vijana wa Lumumba huwa wanaingia kwa speed,lkn mwisho wake hukimbia na kufutika kwani wanajitadi kulazimisha nyeupe iwe nyeusi
Soma post #57 itakuongezea ufahamu wewe mfia Lowasa.
Hapa hamna cha Lumumba wala nini.....we only arguing by using facts not otherwise...
Usisingizie Lumumba kukimbia mjadala....Tueleze kwa nini unamback up Lowasa?