January amvaa Kingunge, asema anakivuruga chama (CCM)

January amvaa Kingunge, asema anakivuruga chama (CCM)

Asante.Wahuni wanataka kutuwekea mgonjwa mwizi nyumba nyeupe na wanalazimisha iwe wanavyotaka.Kingunge ni muhuni mwenzao tu nae,anayeweza kumfikia aniulizie kwa Kingunge,kama angepitishwa Lowasa kwa mchakato huo huo uliotumika,ungekuwa wa halali?
Mkuu unataka kuwaambia nn watanzania Hapa.kwa hata wezi wanaojulikana huko ccm badala ya kukamatwa na kufikishwa mahakamani wanapewa form za kugombeaa urais?wanachama wa ccm kwa maelfu wanamdhamini mwizi agombee urais.unaoona hii imekaa sawa kweli?
 
Una mtazamo finyu sana....nimekuambia nipe Takwimu kama alikuwa hana sifa kuwazidi Lowasa, Wasira and mwandosya kama ulivyoainisha katika moja ya bandiko lako.......maana hata huyo Lowasa wako hapeperushi bendera ya Mafisadi CCM

Umemsikia lini lowasa ana lalama kama huyo makamba? Kama una tumia akili huwezi kulinganisha sifa za mskamba ki utendaji kazi,kukifahamu chama na mwandosya au lowasa,vinginevyo uwe unatumia masaburi kufikiri
 
Umemsikia lini lowasa ana lalama kama huyo makamba? Kama una tumia akili huwezi kulinganisha sifa za mskamba ki utendaji kazi,kukifahamu chama na mwandosya au lowasa,vinginevyo uwe unatumia masaburi kufikiri

Lowasa analalama kupitia kwa kingunge....Nchimbi...na wanufaika wa fedha zake....sio lazima aseme yeye mwenyewe.....kama jambo dogo kama hili unashindwa kuling'amua basi hufikirii kwa kutumia ubongo bali viungo vingine ikiwamo masaburi
 
Moja ya wanaomuunga EDO mkono ni chenge...yule alieshirikiana na Samuel sitta kutengeneza katiba pendekezwa ya ccm..na mlishangilia sana!
mkuu Hawa ccm vichwa Vyao ni kama matikiti maji,wanasahau within a fraction of second
 
Lowasa analalama kupitia kwa kingunge....Nchimbi...na wanufaika wa fedha zake....sio lazima aseme yeye mwenyewe.....kama jambo dogo kama hili unashindwa kuling'amua basi hufikirii kwa kutumia ubongo bali viungo vingine ikiwamo masaburi

Post count 31
St;other member
Sikulaumu
 
Huyu dogo anajikomba kwa makoleo.Kingunge kinukishe mpaka magamba yatawanyike
 
Jazba haziwafikishi mahali waungwana!
Labda January ana makosa japo siyaoni sana.
Huyu Kingunge ndie aliyekuwa mstari wa mbele kumpiga vita Samwel Sitta kuwa anatoa mambo ya chama hadharani badala ya kupeleka kwenye vikao!!!!
Leo yeye haendi kunung'unikia kwenye vikao anaanika kweupe!!!
Yawezekana mchakato ulikosewa sawa...ila kuna pa kusemea na si popote...Hii ndio hoja ya Makamba.
Mafuta ya familia hawapakwi wageni.
Mambo ya familia ya CCM hatupaswi kuyajua; wayatatue ndani kwa ndani.
Anachofanya Kingunge si busara.
Kuwa na akili na kuwa na busara ni vitu viwili tofauti sana na kwa bahati mbaya kwa Kingunge busara hupendwa zaidi ya akili!!!
 
Mkuu baada ya kugundua kuwa wewe ni muimba taarabu nimeishiwa na nguvu kwa kujichosha

Wewe umeshindwa hoja....hauna sababu nyingine.....haya nenda kapige zumari huko monduli
 
Jibu hoja.....uenyeji au uzoefu wako JF isiwe kigezo cha kutaka kupotosha au kujiona bora......here we dare to talk openly

Kawaida ya vijana wa Lumumba huwa wanaingia kwa speed,lkn mwisho wake hukimbia na kufutika kwani wanajitadi kulazimisha nyeupe iwe nyeusi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom