Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Hata mimi nawaita maccm tena ma pu mbavu , mafisadi, majinga, mashenzi. Maccm.
 
Huyo ni miongoni mwa mazindiko ya chama cha masogange. Sasa hapo tusi lipo wapi we mjinga?
 
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.

Wewe jamaa ni kilaza kama hao maCCM wenzako , kama huna cha kupost kaa kimya kujiunga jamii forum sio lazima ndo upost post tu ukajiona una akili kumbe kilaza tena nina wasi wasi na afya ya ubongo wako .... Hivi miCCM ni mijitu ya kuitetea kwa usenge wote wanaokufanyia huu , Hopeless kabisa wewe
 
Yaan kuna watu wamekula kiapo cha utii mbele ya baadhi ya viongozi wa CDM, hawawezi kuona baya wao kazi Yao ni kutetea hata upuuzi. Kuna siku hapa dada/mama mmoja namfahamu maisha nje ya JF ni mwana harakati wa kutetea wanawake lakini alimtukana Rose Kamili humu siku aliposimama kupinga unyanyasaji aw Slaa. Kifupi hata wafanye nini hao viongozi wao wao kazi Yao ni kutetea tu.
 
Je inashinda zile kauli za mwigulu na nape? Au umesahau mkuu! Najua imewauma kwa wapinzani hawa kuumbua mipango yenu ninyi maccm ya kuhujumu katiba yetu.
 
Namshangaa sidhani kama mahakani huwa anatumia maneno.machafu kama haya.ni mtu ambaye hapaswi kuigwa na jamii
Huwez kuwa Liccm ukaunga hoja za upizani,hivi vyama vinakizana na ccm,chagua moja ujulikane..
 
yaan kuna watu wamekula kiapo cha utii mbele ya baadhi ya viongozi wa cdm, hawawezi kuona baya wao kazi yao ni kutetea hata upuuzi. Kuna siku hapa dada/mama mmoja namfahamu maisha nje ya jf ni mwana harakati wa kutetea wanawake lakini alimtukana rose kamili humu siku aliposimama kupinga unyanyasaji aw slaa. Kifupi hata wafanye nini hao viongozi wao wao kazi yao ni kutetea tu.
maccm=ukoo wa panya..
 
Mhesimiwa Lissu kamata hapohapo....mpaka kieleweke

Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.
 
Huyu ndo Maso Pakyindi, siku zote namjua kama " Macho kwenye Ugali"....so long as watu wanamtibulia ugali wake, lazima atoke povu tu!!!!

Ni kwli kabisa kama maso pakyendi anawaza ugali wake unatiwa mchanga ndio anatoa povu sana kila jambo la makamanda wa CDM na bado kufika 2014 na 2015 ndio atakuwa amekata moto/ kufa kwa mawazo ya kuiwaza CDM.
 
Back
Top Bottom