Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Ningeshangazwa sana kama Lisu asingekusikitisha
 
Jambazi = Majambazi
fisadi = mafisadi


CCM = Maccm

ukitaka nenda mahakamani. Nakushangaa ulitaka wapewe majina gani hao manyang'au?
 
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.

Hili LI-JAMAA limeleta hoja uharo hapa.
 
Umesahau na mh prof Lipumba alisema CCM ndembe ndembe, CCM kifo cha mende. Kila nikitafakari nacheka tu, ati CCM ndembe ndembe.
 
Mbona matusi ni sifa yenu kuu. Siku mkishika dola nitahama nchi...

Mkuu hakuna haja kuhama nchi. Wenzetu hawa wamekaa kishari Aidi , sababu tosha ya kuwanyima uongozi wa nchi.

Kwa msimamo wa matusi niliouona leo ni sawa kabisa JK kuwatupilia mbali.

CCM ITAENDELEA KUTAWALA kuliko kuwaachia watu wa aina hii.
 
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.

Ona hili ligamba na hoja yake dhaifu kama kawaida yao miCCM inavyo shindwa kujenga hoja maCCM majanga kweli yani.
 
Mkuu hakuna haja kuhama nchi. Wenzetu hawa wamekaa kishari Aidi , sababu tosha ya kuwanyima uongozi wa nchi.

Kwa msimamo wa matusi niliouona leo ni sawa kabisa JK kuwatupilia mbali.

CCM ITAENDELEA KUTAWALA kuliko kuwaachia watu wa aina hii.

Selukamba you.....!!
 
Toa hoja vinginevyo wajirekebishe hao ccm mana wanachofanya tumeshawagundua. POLE SANA ILA UKWELI NDO HUO ALIOUTOA LISU
 
We sema umekerwa kwakua unaipenda CCM tu,halafu jembe(TUNDU LISU) limetoa siri za CCM kutaka kuhodhi mchakato wa katiba.KUMBE MNATAKA CCM MUWE 72% BUNGE LA KATIBA?acha muitwe maCCM tu.
 
Huyu ndo Maso Pakyindi, siku zote namjua kama " Macho kwenye Ugali"....so long as watu wanamtibulia ugali wake, lazima atoke povu tu!!!!

Masopakyindi ni neno la kinyakyusa lenye maana ya ulafi na sio macho kwenye ugali...

Hivyo inawezekana masopakyindi akawa mlafi waMinyinyiemu..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hakuna haja kuhama nchi. Wenzetu hawa wamekaa kishari Aidi , sababu tosha ya kuwanyima uongozi wa nchi.

Kwa msimamo wa matusi niliouona leo ni sawa kabisa JK kuwatupilia mbali.

CCM ITAENDELEA KUTAWALA kuliko kuwaachia watu wa aina hii.
masopakyindi = Ulafi
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hakuna haja kuhama nchi. Wenzetu hawa wamekaa kishari Aidi , sababu tosha ya kuwanyima uongozi wa nchi.

Kwa msimamo wa matusi niliouona leo ni sawa kabisa JK kuwatupilia mbali.

CCM ITAENDELEA KUTAWALA kuliko kuwaachia watu wa aina hii.


JK hawezi kukubali aende THE HEGUE kwaajili ya katiba mpya ambayo LAZIMA ipatikane tu, CCM watake wasitake.
 
Umesahau na mh prof Lipumba alisema CCM ndembe ndembe, CCM kifo cha mende. Kila nikitafakari nacheka tu, ati CCM ndembe ndembe.

Ndembendembe = na kanga moja.!!!!
kifo cha mende= ?????????????????

hapa Professor atusaidie tafadhali.!!
 
Upumbavu uliokolea una jina lake pia

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom