Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,773
- 2,383
kauli ndiyo mtu. Ukona hivyo malezi yake yana ualakini.
Ningejumuisha mjadala huu mpaka sasa, na mambo ni kama ifuatavyo
- Asilimia 90% ya waliojibu hii ni wananchama wa CDM
- Katika hao 90% maoni yao walisupport matamshi ya kukera ya Tundu Lissu, kwa kejeli
- Ndani ya hao 90% zaidi ya nusu yalikuwa na matusi, mengine ya nguoni
- Mtu unaweza ku judge elimu na ufahamu wa mtu kutokana na jibu lake, katika hao 90% wala hawajui issue ya Katiba iliyoongelewa na Lissu, zaidi ya kutukana.
- 10% ya hao naona ndio wana CCM walioonekana vile vile kuumizwa na matamshi ya Lissu.
- JF sasa ni uwanja si wa Thinking bali mipaho na lack of logical arguments na conclusions, na hao 90% ya waliotoa matusi, kejeli na kuunga mkono lugha chafu sana sana ni wale wanachama wajinga wajinga wa CDM ambao hata kama CDM itachukua nchi(Mungu apishilie mbali), wataendelea kuwa wajinga wajinga, kama walivyo jichagulia wenyewe.
- Very fast, Lissu na CDM for that matter, is turning to the wretched of the earth for political support, and in turn he is also getting to be one.
- Bila kuonyesha kile CDM inachokitaka , wananchi tulio wengi zaidi tutazidi kuipa support inayostahili CCM kuendesha nchi.
- JK, ni lazima ataweka sahihi muswaada wa sheria ya mabdiliko ya katiba.
Naafiki hii conclusion ya watu wajinga wajinga wanaoendeleza matusi kuliko kutumia akili kujadili mada.
Bahati mbaya wengi wao wanatoka CDM, chama kisicho na mikakati yoyote ya malezi.
Tundu Lisuu ni zao la viongozi wasio na nidhamu wala ustaarabu wa kumtosha yeye mwenyewe, sembuse uongozi wa nchi.
Si ajabu kati ya majibu hayo ya kijinga anaweza kuwa mmoja wapo.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema , itakuwa kosa kubwa kuwapa nchi maMbweha, I will never let my country go to the dogs!!!
Sasa tunaanzan kuelewa alikuwa ana maana gani.
Mambweha yako mengi na hayawezi kuachiwa nchi, JK aendelee na kumwaga wino!