Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.
Ma-CCM yanadanganya tu!... Ma-CCM ni manafiki!... Sasa wewe LI-CCM umejuaje alichongea kama ulizima redio? Au pombe zinakupelekesha?
 
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.

Yale ya Mwigulu na Lusinde huwaga unakenua mi meno
Ya Rage na Nkamia ukabana Ngenge kabisaa....
Na Bado, Mwaka huu Lissu lazima awadatishe Magamba
 
mbona hujasema siku zote?kwanini leo?
Kati ya michango mingi ya wana CDM wewe una point.
CDM yenye wasomi wazuri wana jukumu la kuisahihisha CCM kiakili.
Pengine nili mu-overate huyu Lissu, lakini showing ya leo Jangwani is a very poor one kwa msomi.
Nilitegemes angechambua mada ya Katiba na mageuzi yake lakini ameingia uSugu, he argued like a Form Four drop out.
Wengine tulikuwa na high hopes na " msomi" huyu.

Tanzania hii ni yetu sote nz hata wana CDM wamo.
Believe me mawazo mazuri hakuna anayeweza kuya pinga, lakini upuuzi wa kuita miCCM na maCcm hapo Jangwani umemweka Lissy kuwa a mediocre politician, just like the rest of them.
 
Eti hizo ni kauli za watu wanaotaka siku moja wawe viongozi wa nchi hii, Watanzania wa wapi watakaowapa hiyo ridhaa?
Kwani miCCM ambayo ilishapewa ridhaa ya kuongoza nchi inatumia kauli gani? Tena ndani ya Bunge! MaCCM bana!
 
Kati ya michango mingi ya wana CDM wewe una point.
CDM yenye wasomi wazuri wana jukumu la kuisahihisha CCM kiakili.
Pengine nili mu-overate huyu Lissu, lakini showing ya leo Jangwani is a very poor one kwa msomi.
Nilitegemes angechambua mada ya Katiba na mageuzi yake lakini ameingia uSugu, he argued like a Form Four drop out.
Wengine tulikuwa na high hopes na " msomi" huyu.

Tanzania hii ni yetu sote nz hata wana CDM wamo.
Believe me mawazo mazuri hakuna anayeweza kuya pinga, lakini upuuzi wa kuita miCCM na maCcm hapo Jangwani umemweka Lissy kuwa a mediocre politician, just like the rest of them.
ni dhahiri kuwa point muhimu zilizotolewa na Lissu zimeumiza sana interest zako na maccm mengine.
Tangu lini miccm mmekuwa na hopes kwa lissu??
 
Mnatia hasira hata kama ni watanzania wenzetu, badilikeni basi tuiendeleze tzn yetu. Tumejitahidi kuwavika nguo lakini bado tu mnajivua wenyewe. Mmejiweka daraja lisilokuwepo ktk ulimwengu wa nchi ya tatu. Tuwafanyeje? Tuwaiteje? Ebu angalieni tu michango yenu hapa jf and note the diffenence for your kind change. we love you but we love more our country than you.
Mkuu kwa yanayoonekana katika posti zao na msimamo wa Lissu they will NEVER, repeat, NEVER rule our motherland!
 
Nadhani anakwenda within legal bounderies.....so nini kinaharamaisha au kuhalisha maneno na km si sheria za nchi..Ulitaka atumie vipimo vya dini ..na dini gani?

Si lazima MI..na Ma CCM iwe negative km umesoma kiswahili yema...otherwise majembe , majumba, mizinga, mikikimikiki ..yangekuwa maneno ya matusi...despite the fact athat Ma CCM ni makubwa ila pia ni majinga..ni ya hovyo..hata hivyo haya ma ccm si mema kihivyo kiasi cha kuwapa neutral CCM..a kwenda positively ..bado wapo ktk iwango duni..
 
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.

huyu bwana ni musomi lakini tatizo lake ni muzembe.
 
Hakika mmeishiwa kama mnafikir matusi ndiyo yatawaondoa CCM madarakani, basi mmeishiwa, jaribuni tu kutumia nguvu za hoja badala ya hoja za nguvu, la sivyo mtawapotezea Watanzania muda na hatima yake ni mbaya sana

Mkuu,ni mara ngapi wabunge wa upinzani wametoa hoja mbalimbali kwa ajili ya maendeleo ya nchi yetu lakini zimewekwa kapuni?Ni NGUVU ZA HOJA ngapi kutoka upinzani ambazo wabunge wa CCM bila kujali uwingi wao wamewahi kuziunga mkono?None!!!
Sasa mkiitwa ma-CCM au mi-CCM mtakataa vipi?

Kwanza mie naona Lisu amewasitiri sana,angepatwa kuwaita mi-JANGILI au mi-UZA UNGA au mi-BAKA DEMOKRASIA au mi-UZA BANGE n.k.

ACHENI UNAFIKI!
 
Kati ya michango mingi ya wana CDM wewe una point.
CDM yenye wasomi wazuri wana jukumu la kuisahihisha CCM kiakili.
Pengine nili mu-overate huyu Lissu, lakini showing ya leo Jangwani is a very poor one kwa msomi.
Nilitegemes angechambua mada ya Katiba na mageuzi yake lakini ameingia uSugu, he argued like a Form Four drop out.
Wengine tulikuwa na high hopes na " msomi" huyu.

Tanzania hii ni yetu sote nz hata wana CDM wamo.
Believe me mawazo mazuri hakuna anayeweza kuya pinga, lakini upuuzi wa kuita miCCM na maCcm hapo Jangwani umemweka Lissy kuwa a mediocre politician, just like the rest of them.
lisu ni musomi lakini anazarau ni kwasababu yeye anaelewa kwamba hata akitumia lunga zikipumbavu watanzania hawawezi kuelewa kuwa amevuruanda.kosa lake ndiyo hilo mwambieni ajilekebishe awaheshimu watanzania siyo kulopokalopoka tu.
 
Halafu nasikia limeonekana kilabuni..!
Kuliko kumsikiliza Lissu heri nimsikilize Sugu, kwa vile najua kuwa ni kama kusubiri chakula kibichi.
Sugu is a dissapoimtment, heri kwenda kunywa kabisaa!.
 
Uka mweleze mhuni mwenzako mwigulu na mazezeta wenzake kama vuvuzela napiang maana lazima kelelweke na katiba mpya, shame upon maeneleo kuawa watu na tindikali ya ccm
dung'unyi tumemchoka tundu lissu, hakuna maendeleo aliyotuletea mpaka sasa zaidi ya kumzuia ndugu na aliyekuwa mpinzani wake kuunganisha huduma ya umeme kwenye shule za kata dung'unyi. Hata kanisa katoloki parokia ya dun'unyi wamemchoka. Ile ladha ya kujifanya anatuhadaa na kesi za vitalu vya madini kwenye kiwanja cha kanisa imeshaisha. Lissu sio mdini bali ni mtumia dini kuhadaa wanyampaa. Nawaambia atakiona 2015, labda aje na usanii mwingine tofauti na kutuma watoto wa chekechea kuchana picha za njau.
 
Kwani miCCM ambayo ilishapewa ridhaa ya kuongoza nchi inatumia kauli gani? Tena ndani ya Bunge! MaCCM bana!
Mtu ambaye zimejichanganya hizi ndizo sign zake endelea na dawa zikusaidie.
 
Lisu hata akifa jimboni kwake hata kulia hawatalia hanafaida kwao
 
Dah...wewe haupo alright..utakua unaumwa ugonjwa wa kwikwi ya kwenye ubongo..yani akili zako zinarukaruka hazitulii
 
Back
Top Bottom