Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.

Ukiona hufuraishwi na lugha za wataka mabadiliko ujue kuwa wewe ni akili ndogo...

Sasa ulitaka aongee kwa kulia lia au abembeleze wakati uovu na madhila ya nchi kupokwa na CCM anayajua vizuri kuliko wewe!
Mijitu mingine bwana!
 
'CCM ni sawa na ukoo wa PANYA, baba mwizi, mama mwizi, mtoto mwizi, babu mwizi, bibi mwizi, kaka mwizi, dada mwizi, mkwe mwizi' By Mh. Nassari.:shock:
 
Mkuu toa mfano wa maneno aliyotumia Lissu pale jangwani ya kumshushia heshima na ulinganishe na matusi yaliyotolewa bungeni na....

pengine unachuki binafsi kwa Lissu kusema ukweli.
 
Kahaba ni mama yako aliyekuzaa kwa njia ya ukahaba
Umekosea sana, kahaba ni wewe unayeshinda mitandaoni kuwatetea wateja wako wanaoiua nchi yetu kwa ufisadi na madawa ya kulevya! huna haya wala aibu! wewe na shetani tofauti yenu ni moja tu, kwamba shetani ana huruma kidogo kuliko wewe.
 
Maneno yako ni burudani sana kwangu.
Kidumu chama cha mapinduzi.

Umekosea sana, kahaba ni wewe unayeshinda mitandaoni kuwatetea wateja wako wanaoiua nchi yetu kwa ufisadi na madawa ya kulevya! huna haya wala aibu! wewe na shetani tofauti yenu ni moja tu, kwamba shetani ana huruma kidogo kuliko wewe.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu toa mfano wa maneno aliyotumia Lissu pale jangwani ya kumshushia heshima na ulinganishe na matusi yaliyotolewa bungeni na....

pengine unachuki binafsi kwa Lissu kusema ukweli.

Kama Lissu alikuwa anaiga maovu, basi tuna kila sababu kuquestion ustaarabu wake.
Kiovu hakiigwi.
 
magamba,miccm,mafisadi,ukoo wa panya
na nitatoa zawadi kwa atakae toa jina baya zaidi.siipendi sitaipenda na sipangishi maccm kwenye nyumba yangu
sisomi wala sifungii mandazi gazeti la uhur
sitavaa wala kushika nguo ya kijani,ukweli naichukia sana ccm
 
Ningejumuisha mjadala huu mpaka sasa, na mambo ni kama ifuatavyo
  • Asilimia 90% ya waliojibu hii ni wananchama wa CDM
  • Katika hao 90% maoni yao walisupport matamshi ya kukera ya Tundu Lissu, kwa kejeli
  • Ndani ya hao 90% zaidi ya nusu yalikuwa na matusi, mengine ya nguoni
  • Mtu unaweza ku judge elimu na ufahamu wa mtu kutokana na jibu lake, katika hao 90% wala hawajui issue ya Katiba iliyoongelewa na Lissu, zaidi ya kutukana.
  • 10% ya hao naona ndio wana CCM walioonekana vile vile kuumizwa na matamshi ya Lissu.
  • JF sasa ni uwanja si wa Thinking bali mipaho na lack of logical arguments na conclusions, na hao 90% ya waliotoa matusi, kejeli na kuunga mkono lugha chafu sana sana ni wale wanachama wajinga wajinga wa CDM ambao hata kama CDM itachukua nchi(Mungu apishilie mbali), wataendelea kuwa wajinga wajinga, kama walivyo jichagulia wenyewe.
  • Very fast, Lissu na CDM for that matter, is turning to the wretched of the earth for political support, and in turn he is also getting to be one.
  • Bila kuonyesha kile CDM inachokitaka , wananchi tulio wengi zaidi tutazidi kuipa support inayostahili CCM kuendesha nchi.
  • JK, ni lazima ataweka sahihi muswaada wa sheria ya mabdiliko ya katiba.
 
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.
unashangaa ccm kuitwa maccm au miccm,kwa nini usishangae ccm wanavyoitwa magamba,mafisadi,wezi,wauza unga,NK. hii inaonyesha jinsi gani hamna uwezo wa kufikiria yaani kwa akili yako maccm na miccm kwako ni tusi kuliko kuitwa fisadi
 
Ningejumuisha mjadala huu mpaka sasa, na mambo ni kama ifuatavyo
  • Asilimia 90% ya waliojibu hii ni wananchama wa CDM
  • Katika hao 90% maoni yao walisupport matamshi ya kukera ya Tundu Lissu, kwa kejeli
  • Ndani ya hao 90% zaidi ya nusu yalikuwa na matusi, mengine ya nguoni
  • Mtu unaweza ku judge elimu na ufahamu wa mtu kutokana na jibu lake, katika hao 90% wala hawajui issue ya Katiba iliyoongelewa na Lissu, zaidi ya kutukana.
  • 10% ya hao naona ndio wana CCM walioonekana vile vile kuumizwa na matamshi ya Lissu.
  • JF sasa ni uwanja si wa Thinking bali mipaho na lack of logical arguments na conclusions, na hao 90% ya waliotoa matusi, kejeli na kuunga mkono lugha chafu sana sana ni wale wanachama wajinga wajinga wa CDM ambao hata kama CDM itachukua nchi(Mungu apishilie mbali), wataendelea kuwa wajinga wajinga, kama walivyo jichagulia wenyewe.
  • Very fast, Lissu na CDM for that matter, is turning to the wretched of the earth for political support, and in turn he is also getting to be one.
  • Bila kuonyesha kile CDM inachokitaka , wananchi tulio wengi zaidi tutazidi kuipa support inayostahili CCM kuendesha nchi.
  • JK, ni lazima ataweka sahihi muswaada wa sheria ya mabdiliko ya katiba.

Ili tuamini matokeo ya research yako twambie ww mwelewa umetumia statistical method gani kupata matokeo ya majibu yako?
 
Miccm ni watu wa ajabu sana! Lissu songa mbele!
sema mkutano umekukera sana maana mletegemea usifanikiwa ndiyo maana jana mlikuwa mnashabikia kuzuiwa kwa maamano. Kimsingi sema mkutano umekuudhi na siyo Lisu
 
Kama Lissu alikuwa anaiga maovu, basi tuna kila sababu kuquestion ustaarabu wake.
Kiovu hakiigwi.

Nilisikiliza na kuona kama ww hotuba za wote waliozungumza hasa Lissu mtetezi wa wanyonge.pengine wewe hukutaka hata huo mkutano ufanyike kama ungekuwa na mamlaka.

nimekuomba unitajie maneno aliyotumia hadi useme amejishushia hadhi mbele ya jamii umeshindwa kuyataja kando ya ujumbe wake mahsusi juu ya katiba mpya basi weka rekodi ya hotuba yake original hapa jf ili kuondoa ukereketwa kama hutakuwa umeihariri.
 
Mbona ulikua wakwanza kumsifia LiLusinde na matusi ya Arumeru au unadhani tumesahau?
 
maCCM, liCCM, kiCCM, sawa sawa tu! si yapo mengi yanafanya udhalimu huko!
 
Lissu kama Nyerere, kumbuka Idd amin aliitwa Joka, Nduli, Tuliimba Kambona ameolewa, Makaburu etc, watu waliotukosema maisha bora hawawezi kuitwa kwa heshima hata kidogo.
 
Ili tuamini matokeo ya research yako twambie ww mwelewa umetumia statistical method gani kupata matokeo ya majibu yako?
Mkuu mbona unakuwa kilaza!
Majibu yote yapo hapa mtandaoni na katika uzi huu huu.
Fanya research yako mwenyewe kutokana na sample space uliyomo, yaani uzi huu, na uone nani mjinga mjinga wa matusi ambaye hata kinachoongelewa hajui.
Halafu utajijibu mwenyewe.
 
Back
Top Bottom