Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Jangwani: Lissu amenisikitisha!

Ingawa mimi mara nyingi au zote namkubali sana Lissu na hoja zake lakini naomba leo nitofautiane nae. Hakutumia lugha ya kiungwana, ameniudhi hata kama content ya hotuba yake ilikuwa sawa.

Alijaa dharau na kebehi kwa wapinzani wake. Sikuona mantiki yoyote ya kufanya hivyo. Angeeleweka vizuri sana kama angekuwa humble, firm and friendly wakati wa presentation yake.

Namsamehe bure..
 
Ni lini CCM iliwaheshimu wapinzani hata mleta mada anataka heshima hiyo hiyo kwa ccm? Hizo ndizo lugha la siasa za nchini mwentu zilizoasisiwa na ccm wenyewe, tukubali tu tutafika!
 
Nilikuwa nasikiliza hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi kujieleza.
Nawasilisha.

Pole Siku nyingine ukimuona badili njia au elekea kilabuni ukaendelee na kanywaji kama c kinywaji kwa mkopo
 
huyu bwana ni musomi lakini tatizo lake ni muzembe.
Mkuu si hilo tu huyu jamaa ana ka arrogance kasikopendeza, ujanja mwingi mbele giza.

Lakini cha msingi wameshindwa miserably kuonyesha kwa nini mabadiliko ya katiba isiendelee mbele.
Muswada wa mabadiliko wa mchakato wa katiba wameuzembea bungeni na sasa wanashindwa kuelezea udhaifu wao.

Hao wanawaita maCCM ni chaguo la watu na wamewekwa pale kutete maslahi ya watu

Nilitegemea wapinzani wa argue, kuplead na ku convince wananchi wauone upande waowa wanamna bora ya mikakati hiyo lakini wameshindwa miserably.

Tatizo ni kwamba kama ni fujo na vurugu, kila mtu anaziweza.
Lakini kwa sasa wanaendelea kupoteza fursa nzuri za kujisafisha na konyesha njia bora yakuwaongoza watanzania.

Kwa mtaji huu JK atasainitu muswaada wa sheria ile.
 
Mkuu si hilo tu huyu jamaa ana ka arrogance kasikopendeza, ujanja mwingi mbele giza.

Lakini cha msingi wameshindwa miserably kuonyesha kwa nini mabadiliko ya katiba isiendelee mbele.
Muswada wa mabadiliko wa mchakato wa katiba wameuzembea bungeni na sasa wanashindwa kuelezea udhaifu wao.

Hao wanawaita maCCM ni chaguo la watu na wamewekwa pale kutete maslahi ya watu

Nilitegemea wapinzani wa argue, kuplead na ku convince wananchi wauone upande waowa wanamna bora ya mikakati hiyo lakini wameshindwa miserably.

Tatizo ni kwamba kama ni fujo na vurugu, kila mtu anaziweza.
Lakini kwa sasa wanaendelea kupoteza fursa nzuri za kujisafisha na konyesha njia bora yakuwaongoza watanzania.

Kwa mtaji huu JK atasainitu muswaada wa sheria ile.
saga chupa unywe usituletee za kuleta wewe liccm
 
sema mkutano umekukera sana maana mletegemea usifanikiwa ndiyo maana jana mlikuwa mnashabikia kuzuiwa kwa maamano. Kimsingi sema mkutano umekuudhi na siyo Lisu

Mi naona huo ndio ukweli wenyewe, si kweli eti hotuba zote zilizotolewa mkutanoni hakusikia kitu bali kasikia neno moja tu "Maccm" bas!
 
Maccm. Mbona hili jina haliwafai wajinga kama miccm. Na bado tutawaita kila jina ili upumbavu wenu uwatoke. Lione na hili liccm. Naongezea kwa kumsaidia lissu, mi mbwa mtu ya ccm.
 
Nilikuwa nasikiliza
hotuba za vyama vilivyoungana dhidi ya chama tawala sasa hivi lakini
imebidi nizime radio na kuelekea kwenye kanywaji, kwa vile sikuweza
kuvumilia derogatory language ya huyu Mh. Tundu Lissu.

Katika kueleza mchakato wa yale yaliyojiri alikuwa akitamka, tena bila
aibu, staha wala ustaarabu kuwa amekuwa akiongea na miCCM, maCCM na kwa
ujumla kwa kutmia lugha isiyostahili kwa mtu msomi, tena aliyeheshimiwa
kupewa dhamana ya kuingia bungeni kwawakilisha wananchi kwa kupitia
jimbo lake la uchaguzi.

Pengine Msajili wa Vyama inabidi amkumbushe huyu jamaa kuwa derogatory
language haijengi na yule uliyemkusudia akiamua kurudisha matusi basi
amani inaweza kuwekwa rehani.

Kwa mtaji huu , Lissu anaingia katika wanasiasa wasio na ustaarabu wa
kuelezea yale yaliyo moyoni bila kutumia dharau, matusi n.k.

No wonder humu JF , si ajabu yeye ni mmoja wa wanaoutumia matusi
kujieleza.
Nawasilisha.

kumbe hata we yanakuumae.kakutuma nepi au lusinde na mgulu.
 
Kati ya michango mingi ya wana CDM wewe una point.
CDM yenye wasomi wazuri wana jukumu la kuisahihisha CCM kiakili.
Pengine nili mu-overate huyu Lissu, lakini showing ya leo Jangwani is a very poor one kwa msomi.
Nilitegemes angechambua mada ya Katiba na mageuzi yake lakini ameingia uSugu, he argued like a Form Four drop out.
Wengine tulikuwa na high hopes na " msomi" huyu.

Tanzania hii ni yetu sote nz hata wana CDM wamo.
Believe me mawazo mazuri hakuna anayeweza kuya pinga, lakini upuuzi wa kuita miCCM na maCcm hapo Jangwani umemweka Lissy kuwa a mediocre politician, just like the rest of them.

poleee dawa imeingia pahala pake,aliwaita maccm kwa maana halisi ya wauaji,wathulumu haki za wanyonge,mafisad na wez wa mali za umma,wauza sembe,watekaji na wakatili,wasio na huruma wala ubinadamu kwa wengne,kwa haya they diserve kuitwa maccm.
 
Watu wazima hovyo

Hivi kati ya viongozi woooote waliohutubia ni Tundu Lisu tu ndie mliemsikia? Au ndie alietoa nondo za hatari?

Au neno maccm ndio lililowakera? @C'mon dude you are kidding hamko serious, kati ya vitu vibaya hamuoni ambavyo vimefanywa na ccm kwa miaka 52? Mnajidai kukataa kuitwa Maccm?
 
maccm na miccm ndo haya.



Duh
Haya madubwana yana sura yenye ugwadu hujui yanafanya biashara gani,make Kichaka cha wafanya maovu woote ni CCM majambazi,wezi,wauza unga,wakwepa kodi,vibaka,malaya,wauaji machangudoa,mashoga yoote kichaka chao ni CCM na ukitaka ufanikiwe Tanzania chaguo ni humo hautasumbuliwa na policcm wala nini,hautalipa kodi,utaua na utaachiwa huru yaani ukiwa MUCCM UTAKUWA ABOVE THE LAW! Ndio maana takataka zote zimo humo sio kwamba wanakipenda Chama ila wanapata hifadhi humo
 
Ccm importent

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom