win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 10,486
- 35,512
mmmh sikumbuki kwa kweliUlishawahi kuiona hiyo ID ya "Win" lakini?
mmmh sikumbuki kwa kweliUlishawahi kuiona hiyo ID ya "Win" lakini?
Vitu gani tena mkuu ?Kesho twende tukapige vitu au vipi?
Chairfire.Vitu gani tena mkuu ?
Sawa mzee, usiku mwema.😆Nakutakia usiku mwema kijana
Poa,mmmh sikumbuki kwa kweli
umejaribu kui search ?,, sa mi nitaiona wapiPoa,
UKiiona hiyo Id kama utakumbuka nitag.
Nipo na baby wangu naona unanichanganya 🤣🤣Chairfire.
Sawa mzee, usiku mwema.😆
Unaweza kukutana nayo katika kuperuzi hunu jukwaani.umejaribu kui search ?,, sa mi nitaiona wapi
okUnaweza kukutana nayo katika kuperuzi hunu jukwaani.
unawezaje ku search IDumejaribu kui search ?,, sa mi nitaiona wapi
Umejichanganya mwenyewe baby kwa hizo bangi unazovuta😆Nipo baby wangu naona unanichanganya 🤣🤣
ndio unawezaunawezaje ku search ID
Nielekezendio unaweza
Nimemaanisha nipo na baby wangu so unavyonitag unanichanganyaUmejichanganya mwenyewe baby kwa hizo bangi unazovuta😆
Dah😅Nimemaanisha nipo na baby wangu so unavyonitag unanichanganya
Kwa heri kijana
NB sivuti mbangi Bwana asifiwe
hapo juu kabisa mkono wa kulia ambapo kuna sehem ya notification, ki box cha messages na picha kama ya mtu kuna kadude kapo kama Q, unakabonyeza alf unaandika jina la I'd unayo itafutaNielekeze
Gudubai mshambaDah😅
We kweli kiboko ya washamba.
Ni search hivyo zinakuja thread na comment zenye neno "win"hapo juu kabisa mkono wa kulia ambapo kuna sehem ya notification, ki box cha messages na picha kama ya mtu kuna kadude kapo kama Q, unakabonyeza alf unaandika jina la I'd unayo itafuta
Nielekeze
Jaribu kusearch win uonemfano huu hapa bwana GenuineMan