Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 13,623
- 27,528
Nahisi net ilikuwa low ilikuwa inapanda na kushukaWeb kustack labda net iwe chini au server zao ziwe zina shida
Nahisi net ilikuwa low ilikuwa inapanda na kushukaWeb kustack labda net iwe chini au server zao ziwe zina shida
Ni wa moto🙌🔥Huyo mwamba huwa hakosei namkuballi sana
Changamoto itakua hiyoNahisi net ilikuwa low ilikuwa inapanda na kushuka
Karibu sanaMali zimeisha niko tena hapa
Dizasta ni wa 🔥🔥Tukusa
Dizasta vina
Kaka mbona game time inaonyesha masaa machache hivyo au umempa mnemba apunguze? 😂Razorblade nimelia sana kaka😃😃
Yan me Jf natembea nyuzi zote lakn inaonekana. Nashinda Efootball tuu😅View attachment 3667134
Leo zamu ya wazeelindo
hahahahaha,wazee bila vijana hii kazi ngumuLeo zamu ya wazee
MamiyakeKaka mbona game time inaonyesha masaa machache hivyo au umempa mnemba apunguze? 😂
Uzuri mnemba hajakuchafua(umeelewa) 😂🙌
Tufumbe macho tuombe kaka 😂Mamiyake
.....Jichagulie tusi braza😃
ndio tunaingia zamu23:04 muda wa kulala huu.