Kuruhusu babu yao kukesha lindoni na wao wamelala sio fea kabisaHuu ni utovu wa nidhamu mzee Grahams,itabidi vijana wajitafakari sanaš¤£š¤£
Kwa huyu hatokua na kazi sana.. anajua button yako ipo wapi .na nyimbo nzuri anakuimbiaga ...šš Kesi nyepesi sana kwake goo Dosho goo Dosho!mi nimesusa baada ya kunijibu "sawa"
hahahahaKwa huyu hatokua na kazi sana.. anajua button yako ipo wapi .na nyimbo nzuri anakuimbiaga ...šš Kesi nyepesi sana kwake goo Dosho goo Dosho!
Dah! š , usifanye hivyo bana nisimulie hata kidogo tu, nikuletee kiti ukaemi nimesusa baada ya kunijibu "sawa"
Hatari sana mkuu,au ndio mbinu ya kukuweka mbali na wajukuu zako wa kikeš¤£š¤£Kuruhusu babu yao kukesha lindoni na wao wamelala sio fea kabisa
Hadi muda wa kuvuta Kiko nakosa kabisa yaani š¤
hebu usimpe kichwa alf ukabaki na shingo atajidai sanaššš yani haiwezekani nijitolee kumsimulia kitu alf anijibu short tu et "sawa" akuuu bora nibaki na story yanguš¤Kwa huyu hatokua na kazi sana.. anajua button yako ipo wapi .na nyimbo nzuri anakuimbiaga ...šš Kesi nyepesi sana kwake goo Dosho goo Dosho!
Pole na majukum general. Hali ya uwanja ni shwari.hahahaha
sitaki kiti, hii ya leo sikusimulii nishahama huko kabisaaaašDah! š , usifanye hivyo bana nisimulie hata kidogo tu, nikuletee kiti ukae
Huku bwana sisi ni watu wa jogging sana,si asubuhi,mchana wa usiku,si vijana wazee wa mabinti au akina mamaMzee wa goba... Kuna mpya gani huko
Lyrics nzuri hakuandikiagi? Au unafikiri Yale mabembelezo abhuju bhuju hayataki? Endelea kujishaua ..š¤£š¤£hebu usimpe kichwa alf ukabaki na shingo atajidai sanaššš yani haiwezekani nijitolee kumsimulia kitu alf anijibu short tu et "sawa" akuuu bora nibaki na story yanguš¤
yeah naona ni shwari kabisaPole na majukum general. Hali ya uwanja ni shwari.
Ni goba zote au ni hiyo ya kwenu? Goba ipi kwanzašHuku bwana sisi ni watu wa jogging sana,si asubuhi,mchana wa usiku,si vijana wazee wa mabinti au akina mama
Binafsi jogging nafanya mida ya 1900hrs au 2000hrs
Tunapenda kukimbia kwakweli,Goba ni jogging na jogging ni Goba na hakuna kitu mtatufanya
tunaandikiana bwana mi mwenyew huwa nazama maktaba kutafuta mavituzi ili nimdedicate ila leo kazinguaa inabidi nimpe adhabu ya kunyimwa storyš šLyrics nzuri hakuandikiagi? Au unafikiri Yale mabembelezo ephen_ hayataki? Endelea kujishaua ..š¤£š¤£
itabidi mpokee maelekezo afande2305 hii mpya hiii .lakini sawa tutafata maelekezo yako mkuu š«”š«”
Tupate wapi na sisi wakuwaendesha hivi...š¤£š¤£š¤£tunaandikiana bwana mi mwenyew huwa nazama maktaba kutafuta mavituzi ili nimdedicate ila leo kazinguaa inabidi nimpe adhabu ya kunyimwa storyš š
Kabisa kabisa amri imepokelewa kwa utekelezajiš«”š«”itabidi mpokee maelekezo afande