win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 10,199
- 34,565
jobless tajir kwani haujaachiwa pesa ya mboga ukate ganji alf ufanye kama umetoa sadaka kwangu😉😉😅Nakupa nini mimi jobless
jobless tajir kwani haujaachiwa pesa ya mboga ukate ganji alf ufanye kama umetoa sadaka kwangu😉😉😅Nakupa nini mimi jobless
Mama ephen ananunua kila kitu, mimi napewa nipikejobless tajir kwani haujaachiwa pesa ya mboga ukate ganji alf ufanye kama umetoa sadaka kwangu😉😉😅
unauhakika atatoa?,
Nasubiri muwekezaji Tresor akiiruka hiyo Comment akijifanya hajaiona tu...Uhakika ninao ila kwenye kutoa sijui😎
Sawa maa see you later 🙏hizo sawa tu maaan mtoto anakua Unique au wakimsumbua sana nampakaa super black inauzwa buku moya tu😜😅
oukyyy😘Sawa maa see you later 🙏
muwekezaji kasusa mazima, jana katuchamba mimi na mshauri wangu hatuna ham,,Nasubiri muwekezaji Tresor akiiruka hiyo Comment akijifanya hajaiona tu...
Naomba niikute no inayopokea Pm 😂😂😂
Tajiri tresor kaipita kama haoniNasubiri muwekezaji Tresor akiiruka hiyo Comment akijifanya hajaiona tu...
Naomba niikute no inayopokea Pm 😂😂😂
😅😅😅 unaweza kuua mtu kwa maneno khaaa,,,Tajiri tresor kaipita kama haoni
We mbona sijaiona hiyo ... Nani kampa nguvu za kuwachamba jamn.😂😂😂muwekezaji kasusa mazima, jana katuchamba mimi na mshauri wangu hatuna ham,,
ewaaaaa nakutumia chap homeG💃💃😍
Kwahiyo hata ukweli nisiongee😅😅😅 unaweza kuua mtu kwa maneno khaaa,,,
umesahau kama jana usiku tumesemwa?
Bado hajapita bwana ... 😂😂😂 Ngoja nione hili jaribu anavukaje huyu mbabaTajiri tresor kaipita kama haoni
pombe, alienda kulewa akaanza kutufokea na kuturingishia midola anayo miliki, tumekuita sana mimi na ephen ila hauku tokea😪, ungekuja kumshuhudia ndugu yako😅😅We mbona sijaiona hiyo ... Nani kampa nguvu za kuwachamba jamn.😂😂😂
Msg ya laki 9 ameifuta?pombe, alienda kulewa akaanza kutufokea na kuturingishia midola anayo miliki, tumekuita sana mimi na ephen ila hauku tokea😪, ungekuja kumshuhudia ndugu yako😅😅
kapita,, alisema nitakula huko kwa mshauri wangu, wakati mshauri mwenyew hana mia mbovu,, saivi tegemeo letu ni wew😪Bado hajapita bwana ... 😂😂😂 Ngoja nione hili jaribu anavukaje huyu mbaba
vingine unavimezea unaacha tujiongeze au unaongea taratibu😅Kwahiyo hata ukweli nisiongee
sijakagua msg za juu kama kafuta au bado ipoMsg ya laki 9 ameifuta?
Subiri ninyamazevingine unavimezea unaacha tujiongeze au unaongea taratibu😅
sio saivi sasa na wew aaah😅Subiri ninyamaze
pombe, alienda kulewa akaanza kutufokea na kuturingishia midola anayo miliki, tumekuita sana mimi na ephen ila hauku tokea😪, ungekuja kumshuhudia ndugu yako😅😅
Msg ya laki 9 ameifuta?
Tresor Mandala Sio vizuri kuwafanyia watoto hivi... Mtu Gani huwezi cheza na watoto 😂😂😂kapita,, alisema nitakula huko kwa mshauri wangu, wakati mshauri mwenyew hana mia mbovu,, saivi tegemeo letu ni wew😪