win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,619
- 32,901
si nakususia chakula chako hapo mi nasepa zangu au najiagizia kipenda rohoHiyo mie sijui kwakweli,utapambana tu na hali yako
si nakususia chakula chako hapo mi nasepa zangu au najiagizia kipenda rohoHiyo mie sijui kwakweli,utapambana tu na hali yako
eh 😄Wee muraa!!!
Itakuwa nzuri, unaiachia lini au bado unaandika codeYeah ilikua vizuri ila shida ni kwamba ilikaa kiblog so haikua na utofauti na platforms zingine licha ya kwamba mule kulikua na special room kwa students, ila now nimeongeza hizo contents ila pia article zinaweza kuchange kwenda kwenye audio na pia nataka simulizi ziwe kwenye audio pamoja na animation videos so mtu atakua anachagua anataka kusoma, kuskiliza au kutazama, ila pia awali ilikua kwenye zile contents zinazouzwa pesa inapitia kwangu before imfikie writer now inakua kwenye dashboard yake so akitaka kuwithdraw anatuma request then tunaapprove pesa inaingia kwenye njia aliyochagua apokelee hiyo pesa.
Nadhani Sept mwishoni au Oct mwanzoniElnino inaanza lini?
Almost done coz hayo maeneo yote nilivyokwambia yapo tayari kasoro hilo eneo la pesa kidogo Lina utata kulingana na sheria za bank kuu😅Itakuwa nzuri, unaiachia lini au bado unaandika code
Ndo unaenda kulalamsisahau kuswaki kabla ya kulala aseee
ndio jiraniNdo unaenda kulala
Haya mambo bwana ukiumwa na jino na maumivu yake,unaajiambia kuanzia sasa ntapiga mswaki kabla ya kulalamsisahau kuswaki kabla ya kulala aseee
Inawezekana kukawa na lockdown?Nadhani Sept mwishoni au Oct mwanzoni
mimi sinaga siku maalumLeo ni jumatatu!🤔
Boss huu ndio muda gani5314
Tangu kini elinino ikawa na lockdownInawezekana kukawa na lockdown?
Ili iweje?msisahau kuswaki kabla ya kulala aseee
Utafanikiwa tu ndugu yangu ni kumuomba munguAlmost done coz hayo maeneo yote nilivyokwambia yapo tayari kasoro hilo eneo la pesa kidogo Lina utata kulingana na sheria za bank kuu😅
Kwamba startup yoyote inayoweka na kutoa pesa inakua kama ewallet na ikishakua ewallet basi inaingia kwenye Fintech na huko ni lazima uwe na leseni lakini pia mtaji uanzie million 500 ili upewe leseni... Nipo najaribu kuzisoma ili nione nafanyaje integration hapo ili isiingie kwenye huo upande😂
Ok usiku mwema msalimie dosho jr 😁ndio jirani
Umeshauri kama kungwi au Mtaalam wa Afya?🤣🤣🤣msisahau kuswaki kabla ya kulala aseee
Smart phone error boss wanguBoss huu ndio muda gani