Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,724
- 96,814
sawaipo wanafanya kuipodoa
sawaipo wanafanya kuipodoa
Kwahiyo nyie wanakijijihakunaga musoma mjini, mara yote ni kijijini tofauti labda ni lami
Hahahaaa niliishusha kwanza, kuna maboresho nayafanya... Nataka iwe bora zaidi, maana maoni nayo yalikua mengi then nikajua niliipandisha kwa kuwahi sana😅😅, Umepotea sana, vipi ile site ya ulitengeneza mbona iliacha kufanya kazi ilitokea nini
alooooooooo😅😅😅 kwahiyo nilitakiwa kula tambi na nini jamni uwihKwahiyo wewe wa kishua og,ndio maana unapenda kula tambi na juisi
ndio mimi ni shamba girl😊Kwahiyo nyie wanakijiji
muda bado,natoka kuzurura wapi kuna happen saa hz23:00
Mi naona ilikuwa vizuri tu ila Ukiboresha utanitumia linkHahahaaa niliishusha kwanza, kuna maboresho nayafanya... Nataka iwe bora zaidi, maana maoni nayo yalikua mengi then nikajua niliipandisha kwa kuwahi sana😅
Leo ni jumatatu!🤔muda bado,natoka kuzurura wapi kuna happen saa hz
Tukitoka out kumbe wala huna gharama,nakuagizia mitambi kama yotealooooooooo😅😅😅 kwahiyo nilitakiwa kula tambi na nini jamni uwih
Mla tambi na kilimo wapi na wapindio mimi ni shamba girl😊
Ila huo ni uchokozi seran😁
sio my fvrt nilikua nahisi njaa nikaona hicho ndio chakula chepesi kuiva nikaruka nachoTukitoka out kumbe wala huna gharama,nakuaguzia mitambi kama yote
Nisimis watu jamani😂Ila huo ni uchokozi seran😁
saivi tmerahisishiwa tunalima kwa tractor😄Mla tambi na kilimo wapi na wapi
Hiyo mie sijui kwakweli,utapambana tu na hali yakosio my fvrt nilikua nahisi njaa nikaona hicho ndio chakula chepesi kuiva nikaruka nacho
Wee muraa!!!saivi tmerahisishiwa tunalima kwa tractor😄
Yeah ilikua vizuri ila shida ni kwamba ilikaa kiblog so haikua na utofauti na platforms zingine licha ya kwamba mule kulikua na special room kwa students, ila now nimeongeza hizo contents ila pia article zinaweza kuchange kwenda kwenye audio na pia nataka simulizi ziwe kwenye audio pamoja na animation videos so mtu atakua anachagua anataka kusoma, kuskiliza au kutazama, ila pia awali ilikua kwenye zile contents zinazouzwa pesa inapitia kwangu before imfikie writer now inakua kwenye dashboard yake so akitaka kuwithdraw anatuma request then tunaapprove pesa inaingia kwenye njia aliyochagua apokelee hiyo pesa.Mi naona ilikuwa vizuri tu ila Ukiboresha utanitumia link