Mombasa raha lakini kwa Mzee huyu wa makamo iligeuka kuwa shubiri
Mzee wa watu aliamua amtoe bibi yake out ,wameenda zao beach kupunga upepo na kufurahia upepo wa bahari
On their way home,wakakutana na host wa show ,wakapiga story mbili tatu
Na kuwataka wanandoa hao wawape ushauri vijana juu ya swala zima la Kuoa na mbinu za kudumu kwenye ndoa kwa muda mrefu
Wanandoa hao hawakuwa na baya zaidi ya kutoa ushauri murua kabisa ikowemo kuwa waaminifu,kuvumiliana na kuwa na upendo
Basi wakapewa ofa ya kutolewa out ila kwa sharti moja la kutest uaminifu wao
Zoezi likafanyika na mke huyu akakutwa hayupo clean,kilichomkamatisha ni meseji moja tu ambayo aliituma kwa mtoto wa shemeji yake
Meseji inasema hivi "uje na kondomu lile box limeisha"
Eti mwanaume mwenzangu utajisikiaje hapo,just imagine pakti moja ya kondomu ina ndomu tatu,sasa je box zima lina kondomu ngapi
Maana idadi ya kondomu hizo ndio idadi ya mabao ambayo amechapwa nayo mkeo,jaalia box moja lina ujazo wa kondomu 100, inamaana jamaa kaichapa mara 100,aisee!!!
Kilichofuatia hapo unadhania ni nini tena...
Kisa cha pili, jamaa alikuwa na demu wake,kumbe alikuwa hajui demu wake ni mwingi wa habari,tena mwingi hasa
Kufuatia meseji ambazo zilikutwa humo,ni kwamba huyo mwanamke katembea na baba wa mwanaume,mama wa mwanaume,kaka wa mwanaume na kama haitoshi akamalizia na mlinzi wao wa Getini, hapo vipi mwanawane
View: https://youtu.be/dwrxx4G-Bxs?si=DXL9EccVwqrwweki
Je,unataka nikwambie kilichotokea,kama unasubiri nikwambie basi wewe unashida mahala
Alamsiki!