Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 12,963
- 25,552
Kikizima je shem,kusukuma tena na usiku huu🤣🤣si ugeuze
Kikizima je shem,kusukuma tena na usiku huu🤣🤣si ugeuze
Thanks mumyI believe so,,
nakuombea pia shem wake, maisha ya usingo sio mazuri
Binti ikifika ijumaa kata umeme sinza ili nipate sababu ya kumuaga huyu nije kurekebishabora hata weekend inakaribia, hii wiki ilikua nzito mno dadeq
Hivi kuna mwanamke wa JF yupo "singo" kweli?nishampata tayali labda kama atabadilika huko mbeleni ila kwa saivi nina amani
si umeme upo tutafanya kucharge 😊Kikizima je shem,kusukuma tena na usiku huu🤣🤣
sijui mi siwezi kuwajibiaHivi kuna mwanamke wa JF yupo "singo" kweli?
Nawaza kwa sauti...
jirani mi nina tumbo dogo, nimekula plate mbili tu za wali maharage na nyama nikashushia jagi zima la juice ya parachichi hata sijui hii uvimbe imetoka wapi wakati sijala sana😭Mbona usemi win-one naye asibadilike maana kashaanza kula sana mpaka anavimbiwa si atamfirisi jamaa wa watu 😁
mi sijaelewa bado palacBinti ikifika ijumaa kata umeme sinza ili nipate sababu ya kumuaga huyu nije kurekebisha
Sitaki kumuharibia mood yake usiku huu,kesho nitamkanda🤣🤣Mbona usemi win-one naye asibadilike maana kashaanza kula sana mpaka anavimbiwa si atamfirisi jamaa wa watu 😁
bora unikande saivi tumalizane tu,😅Sitaki kumuharibia mood yake usiku huu,kesho nitamkanda🤣🤣
Kwa ninavyofahamu kadri KE anavyozidi kukaa single ndo uwezekano wake wa kufa njaa unazidi kupanda.sijui mi siwezi kuwajibia
Na ukila sana unapiga kama plate ngapi hivi😁 maana plate mbili za wali maharage na nyama na jagi zima la juice ndo kula kidogo😅jirani mi nina tumbo dogo, nimekula plate mbili tu za wali maharage na nyama nikashushia jagi zima la juice ya parachichi hata sijui hii uvimbe imetoka wapi wakati sijala sana😭
kivipiKwa ninavyofahamu kadri KE anavyozidi kukaa single ndo uwezekano wake wa kufa njaa unazidi kupanda.
Uko happy bhana,nataka uwe na usiku murua kabisa shem wangu mpendwabora unikande saivi tumalizane tu,😅
nikila sana ni ile level ya kisinia nakimaliza pekeangu🤭😆Na ukila sana unapiga kama plate ngapi hivi😁 maana plate mbili za wali maharage na nyama na jagi zima la juice ndo kula kidogo😅
Uchumi ukiwa mgumu atafanyaje sasa. Ni aidha aingie kwenye husiano ama aliponze jokeri lake.kivipi
Duh! Umekuwa Ma mdogo kazoa sasa😂nikila sana ni ile level ya kisinia nakimaliza pekeangu🤭😆