JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mbona usemi win-one naye asibadilike maana kashaanza kula sana mpaka anavimbiwa si atamfirisi jamaa wa watu 😁
jirani mi nina tumbo dogo, nimekula plate mbili tu za wali maharage na nyama nikashushia jagi zima la juice ya parachichi hata sijui hii uvimbe imetoka wapi wakati sijala sana😭
 
jirani mi nina tumbo dogo, nimekula plate mbili tu za wali maharage na nyama nikashushia jagi zima la juice ya parachichi hata sijui hii uvimbe imetoka wapi wakati sijala sana😭
Na ukila sana unapiga kama plate ngapi hivi😁 maana plate mbili za wali maharage na nyama na jagi zima la juice ndo kula kidogo😅
 
Back
Top Bottom