de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,617
- 21,152
Yani Nimecheka bila kupendaleo nipo kweny matikiti shem
Yani Nimecheka bila kupendaleo nipo kweny matikiti shem
Hio kawaida hata mimi huvaa saa na culture ila ikifika night navitoa makes me feel more relaxed and comfortable ujue hizi accessories tunavaa kwenye viungo na mishipa ya damu inakabwa ukitoa inapumua vizuri. Ile numbness fulani inapunguavinanikaba yani nakua nahisi uncomfortable kabisa sisy😪 nikivivua ndo napata ahueni
Okay muda wa kuwa loaded au sioGhala la vifaa kazi
sio usingizi bhamole,, yani tuseme hata nikiwa out ya usiku nikivaa hivyo vitu nakua nahisi kukabwa😅😅 Unavaa cheni usingizi sasa utalimishwaje na wachawi
Nisamehe mkuu usiku huwa na overthinkTumekasa zetu tumetulia mtu unaamua kutaka kuanza kutuchosha akili. Toka Asubuhi ulikua wapi lakini?
kwanini gunner😅Yani Nimecheka bila kupenda
Acha kutupiga kamba wewenani kakwambia nakuaga pekeangu?,, mfano kama saivi nipo kwenye matikiti sitakiwi kutinga saa, cheni na tu hereni kidogo?
Amini hvy mkuu 😎Siamini kama adamu alikuwa ana piga nyeto🤣🤣
mbona mchana sikabwiHio kawaida hata mimi huvaa saa na culture ila ikifika night navitoa makes me feel more relaxed and comfortable ujue hizi accessories tunavaa kwenye viungo na mishipa ya damu inakabwa ukitoa inapumua vizuri. Ile numbness fulani inapungua
Itakua swala la kisaikolojia tu akili imeitune usiku ni kupumzika mwili ukarelax free.. ila ukivivaaa ndio inakua mgogoro..anyway sijawah experience hicho nimejitune tu.🫠vinanikaba yani nakua nahisi uncomfortable kabisa sisy😪 nikivivua ndo napata ahueni
Mi simo bwana chief 🤣🤣Amini hvy mkuu 😎
Basi itakuwa ishu za physics mgandamizo wa hewa atmospheric pressure ndio maana hata usiku sauti husikika zaidi kuzidi mchana.sio usingizi bhamole,, yani tuseme hata nikiwa out ya usiku nikivaa hivyo vitu nakua nahisi kukubwa😅
shem kwani ni vibaya mtu kusema ukweli😅😅Ila wewe 🤣🤣🤣
Huyo shem win-one atakuwa na majini🤣🤣Itakua swala la kisaikolojia tu akili imeitune usiku ni kupumzika mwili ukarelax free.. ila ukivivaaa ndio inakua mgogoro..anyway sijawah experience hicho nimejitune tu.🫠
Matikiti saa 5 usiku ule then usumbue usiku?kwanini gunner😅
Hapana shem,upo sawa bhanashem kwani ni vibaya mtu kusema ukweli😅😅
We jamaa jau😂Adam ndio role model wa babu angu mzaa baba kwenye upigaji nyeto kabla baba hajanikabidhi mikoba
Haya mambo yasitokee tena ... Tutafute tukiwa na akili timamu usituvizie 🤣🤣🤣 in the name of Uvivu..Nisamehe mkuu usiku huwa na overthink