Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 12,953
- 25,519
Kigen Z hicho😂😂nimependa muandiko wa hicho kingreza
Kigen Z hicho😂😂nimependa muandiko wa hicho kingreza
kwani sikuhizi gen z wanalilia mapenzi?Kigen Z hicho😂😂
Nje ya mada, mi huwa nasoma comment za watu kichwani kwa sauti ya avatar wanayotumia na comment zako huwa nazisoma kwa sauti ya yule aliyeingiza sauti ya ertugul bey 😁Kweli sikutokea pande hizi mtu wangu,ila mmetuwakilisha vyema kabisa
Sawa bro 😎Hello everyone one ndani ya mtaa,hope mmekuwa na gudtime na wikiend Murua kabisa
Leo bwana niwasanue wanaume wenzangu kwamba, unaweza kumuumiza mwenza wako sana tu,akaendelea kulalamika na akaendelea kubakia kwako, sasa kulalamika kwake ujue ndio usalama wako kwa maana bado mpo pamoja and she still loves you
Ila the moment ukimwona mwenza wako halalamiki tena kama zamani,yani uzingue au usizingue yeye yupo kimya tu basi ujue mjomba umekwisha,hapo ujue ameshapata option nyingine
Ni ikifikia stage hiyo basi ujue harudi nyuma,upo replaced,kuna mwenzio amepewa hisa kwenye mapenzi yako,hapo anza tu kujipanga kivingine kabisa
Kwahiyo jirekebishe mwenendo wako angali mwenza wako anapiga kelele na kulalamika,kwani hapo bado una nafasi ya kuweka mambo sawa,ila akipiga kimya tu,ujue umeumia
Hapa chini kuna kipande cha barua cha Gen Z, nimekikuta mlangoni kwa mpangaji wangu,maana nina wapangaji wawili, na mimi wa tatu, kwahiyo kwenye nyumba tupo watu watatu na wote mabachela [ingawa mimi ni bachela wa muda tu soon ntauaga ubachelo kama kule awali]
So ile naingia sebuleni tu chumba cha kwanza nakuta hiki kipisi cha barua pembeni,huenda homeboy wakati anafagia alikisahau hapo nje mlangoni,nikavutiwa kukisoma baada ya kuona muandiko wa kike,nikaona nikipige picha kitanifaa hiki kwenye content zangu,kisha nikakiacha pale mlangoni
Binti analalamika kuhusu boy wake,lakini nilipenda mstari wa mwisho,dada anasema "JE WAKATI UMELALA NAE ULINIFIKIRA KUHUSU MIMI, JE ULIKOJOA/ CUM?"
View attachment 3646550
Alamsiki!
nje ya mada, reply zangu huwa unazisoma kwa sauti gani 🤣Nje ya mada, mi huwa nasoma comment za watu kichwani kwa sauti ya avatar wanayotumia na comment zako huwa nazisoma kwa sauti ya yule aliyeingiza sauti ya ertugul bey 😁
Sauti fulani ya kipole, unaongea taratibu, maana mara ya kwanza kuona Id yako ulikuwa na avatar ya msichana mmoja mwembamba kajishike kiuono😁nje ya mada, reply zangu huwa unazisoma kwa sauti gani 🤣
🤣🤣🤣 basi uko wrong mimi nina sauti kama kicheko cha fisiSauti fulani ya kipole, unaongea taratibu, maana mara ya kwanza kuona Id yako ulikuwa na avatar ya msichana mmoja mwembamba kajishike kiuono😁
You know I love that 🤣🤣Sawa bro 😎
🤣🤣 umetisha sana ujueNje ya mada, mi huwa nasoma comment za watu kichwani kwa sauti ya avatar wanayotumia na comment zako huwa nazisoma kwa sauti ya yule aliyeingiza sauti ya ertugul bey 😁
Kicheko cha fisi😅 hiyo sauti itakuaje sijui🤣🤣🤣 basi uko wrong mimi nina sauti kama kicheko cha fisi
kitafute kicheko cha fisi ndo sauti yangu🤣 ukikipata utanambiaKicheko cha fisi😅 hiyo sauti itakuaje sijui
Najua mlio wake tu, maana huku nyasaka ni karibu na nyambiti na huko nasikia wanafuga fisi, kuna muda huwa wanapita wakilia tunasikia 😁kitafute kicheko cha fisi ndo sauti yangu🤣 ukikipata utanambia
Halafu dosho12 sijui kama anajua wewe unaitwa Twiga kwa jinsi ulivyo mrefukitafute kicheko cha fisi ndo sauti yangu🤣 ukikipata utanambia
Wapo wanao lllia sana tu mbonakwani sikuhizi gen z wanalilia mapenzi?
fisi wametoka wapi maana huko nyambiti nimekaa zamani mno miaka ya 2012 na sikuwahi kuwaona hao fisi jamni 😢Najua mlio wake tu, maana huku nyasaka ni karibu na nyambiti na huko nasikia wanafuga fisi, kuna muda huwa wanapita wakilia tunasikia 😁
wanatakiwa kuchapwa🤣Wapo wanao lllia sana tu mbona
Huwa tunasikia milio ya fisi, na kuna watu wanasema walishakutana nao 😁fisi wametoka wapi maana huko nyambiti nimekaa zamani mno miaka ya 2012 na sikuwahi kuwaona hao fisi jamni 😢
duh poleni kwa kwelii kwani huko kunalo pori?Huwa tunasikia milio ya fisi, na kuna watu wanasema walishakutana nao 😁
Kule karibu na jeshi kuna pori kubwa mno na milima juuduh poleni kwa kwelii kwani huko kunalo pori?
basi ndo maana, mi nilikua huko zamani wakati bado niko primary badae tukawa tumehama ndo sijarudi tena kwahio ninazo kumbukumb za zamaniKule karibu na jeshi kuna pori kubwa mno na milima juu