win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,033
- 30,777
hapana user name tukwani wewe unaitwa Win?
hapana user name tukwani wewe unaitwa Win?
Inabidi tuongee vizuri unaweza ukawa Bebe wangu we😂hapana user name tu
asante ila pole kwa kuchelewa maan tayali ninae bebe wangu😊Inabidi tuongee vizuri unaweza ukawa Bebe wangu we😂
Huyo bebe wako ndiyo mimiasante ila pole kwa kuchelewa maan tayali ninae bebe wangu😊
Bebe wangu huyo
nakataa 🤣Huyo bebe wako ndiyo mimi
we dont what peace we want problem always 😅 hatuendi mahali
😅😅😅 hakunaaawe dont what peace we want problem always 😅 hatuendi mahali
nitakudaka tu siku moja we subili😂nakataa 🤣
hahahaha ngoja tuonenitakudaka tu siku moja we subili😂
kama unabisha twende PMhahahaha ngoja tuone
ndo wapi?kama unabisha twende PM
jana sijakuona huku kabisa2149hrs
Kweli sikutokea pande hizi mtu wangu,ila mmetuwakilisha vyema kabisajana sijakuona huku kabisa
nimependa muandiko wa hicho kingrezaHello everyone one ndani ya mtaa,hope mmekuwa na gudtime na wikiend Murua kabisa
Leo bwana niwasanue wanaume wenzangu kwamba, unaweza kumuumiza mwenza wako sana tu,akaendelea kulalamika na akaendelea kubakia kwako, sasa kulalamika kwake ujue ndio usalama wako kwa maana bado mpo pamoja and she still loves you
Ila the moment ukimwona mwenza wako halalamiki tena kama zamani,yani uzingue au usizingue yeye yupo kimya tu basi ujue mjomba umekwisha,hapo ujue ameshapata option nyingine
Ni ikifikia stage hiyo basi ujue harudi nyuma,upo replaced,kuna mwenzio amepewa hisa kwenye mapenzi yako,hapo anza tu kujipanga kivingine kabisa
Kwahiyo jirekebishe mwenendo wako angali mwenza wako anapiga kelele na kulalamika,kwani hapo bado una nafasi ya kuweka mambo sawa,ila akipiga kimya tu,ujue umeumia
Hapa chini kuna kipande cha barua cha Gen Z, nimekikuta mlangoni kwa mpangaji wangu,maana nina wapangaji wawili, na mimi wa tatu, kwahiyo kwenye nyumba tupo watu watatu na wote mabachela [ingawa mimi ni bachela wa muda tu soon ntauaga ubachelo kama kule awali]
So ile naingia sebuleni tu chumba cha kwanza nakuta hiki kipisi cha barua pembeni,huenda homeboy wakati anafagia alikisahau hapo nje mlangoni,nikavutiwa kukisoma baada ya kuona muandiko wa kike,nikaona nikipige picha kitanifaa hiki kwenye content zangu,kisha nikakiacha pale mlangoni
Binti analalamika kuhusu boy wake,lakini nilipenda mstari wa mwisho,dada anasema "JE WAKATI UMELALA NAE ULINIFIKIRA KUHUSU MIMI, JE ULIKOJOA/ CUM?"
View attachment 3646550
Alamsiki!
mi enyewe nilipita kutia saini alf nikalala mbele😅Kweli sikutokea pande hizi mtu wangu,ila mmetuwakilisha vyema kabisa