JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

I will try ♥️🫂
Kijana maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua wakati wewe umechagua kukesha kwa ajili ya alie lala huku unajilaumu

Mimi hapa nimechangua kunywa wine 🍷 taratibu na music 🎶
Angalia ni sa ngap hapo

Maisha ni mafupi sana 🤏
 

Attachments

  • Snapchat-1082980504.jpg
    Snapchat-1082980504.jpg
    178.2 KB · Views: 6
Kijana maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua wakati wewe umechagua kukesha kwa ajili ya alie lala huku unajilaumu

Mimi hapa nimechangua kunywa wine 🍷 taratibu na music 🎶
Angalia ni sa ngap hapo

Maisha ni mafupi sana 🤏
Hongera sana . 🫂 Nami nitaanza kujitahidi kujichangulia nyakati nzuri. Ni Kweli maisha ni mafupi sana.
 
I see that she have been trying to move on, and forget me. I get it.

I’m really sorry for her that I failed to be the person she needed me to be.
What the hell are you bubbling about? Don't you have brain inside that head of yours ? Ok she left you what else can you do?.

You are growing ass man , the only only things to obsess you should be your GODAMN DREAM you feel me ?

Do that women will bring food in your table ?
Do that women will bring money in your broke pocket?

Come on men stay hard, before becoming hero you need to be deadly F*CKED UP as you are right now, so your greatness is coming stay alert.

And I bet you if you LOCK IN you will be the HOT EX she ever had 😎
 
What the hell are bubbling about? Don't you have brain inside that head of yours ? Ok she left you what else can you do?.

You are growing ass man , the only only things to obsess you should be your GODAMN DREAM you feel me ?

Do that women will bring food in your table ?
Do that women will bring money in your broke pocket?

Come on men stay hard, before becoming hero you need to be deadly F*CKED UP as you are right now, so your greatness is coming stay alert.

And I bet you if you LOCK IN you will be the HOT EX she ever had 😎
kuwaambia watu wa moveon kwenye mahusiano ni rahisi mno mpka siku yatakapo kukuta
 
kuwaambia watu wa moveon kwenye mahusiano ni rahisi mno mpka siku yatakapo kukuta
Mwanaume hutakiwa kua weak, mapenzi yanauma sikatai lakini mwanamke kashaamua kuondoka kwenye maisha ya mshkaji .

Hii inamaanisha nini ? Maana ake mwanamke Kuna vitu anakosa, hivyo jamaa sio chaguo sahihi kwake ameenda kwa mwanaume wa ndoto zake.

asipo kua makin atakua SIMP, akishinda DM kusubiri reply ya mwanamke alie changua kwenda kwa mwanaume mwengine better kuliko yeye.

Asiwe na haunted mind mwanamke akikuacha means Kuna kitu anakosa apambane kwa sasa afix mambo ake awe best .

NB: as man don't show feelings itakusaidia sana.
 
Mwanaume hutakiwa kua weak, mapenzi yanauma sikatai lakini mwanamke kashaamua kuondoka kwenye maisha ya mshkaji .

Hii inamaanisha nini ? Maana ake mwanamke Kuna vitu anakosa, hivyo jamaa sio chaguo sahihi kwake ameenda kwa mwanaume wa ndoto zake.

asipo kua makin atakua SIMP, akishinda DM kusubiri reply ya mwanamke alie changua kwenda kwa mwanaume mwengine better kuliko yeye.

Asiwe na spotless mind mwanamke akikuacha means Kuna kitu anakosa apambane kwa sasa afix mambo ake awe best .

NB: as man don't show feelings itakusaidia sana.
mi sijakataa ila haujaelewa nilicho kimaanisha
 
Vizuri sana
sio kweli mahi😀,,,

mi nilicho maanisha ni kwamba huyo gost alikua na memory nzur tu na huyo ex mumy wake ila ndo wameachana ko hawezi kuamka asubuhi tu akawa ame heal lazima itamchukua mda kidogo kuanza kusahau yale zile kumbukumb nzuri,, ila sijamaanisha aanze kubembeleza au ashindwe kufanya mambo mengine ya msingi,, ni hivyo

VERIFY
 
Mwanaume hutakiwa kua weak, mapenzi yanauma sikatai lakini mwanamke kashaamua kuondoka kwenye maisha ya mshkaji .

Hii inamaanisha nini ? Maana ake mwanamke Kuna vitu anakosa, hivyo jamaa sio chaguo sahihi kwake ameenda kwa mwanaume wa ndoto zake.

asipo kua makin atakua SIMP, akishinda DM kusubiri reply ya mwanamke alie changua kwenda kwa mwanaume mwengine better kuliko yeye.

Asiwe na spotless mind mwanamke akikuacha means Kuna kitu anakosa apambane kwa sasa afix mambo ake awe best .

NB: as man don't show feelings itakusaidia sana.
Fact
 
Back
Top Bottom