Pole mkuu. Nimeona chini huko mtu anasema kichwa kinasumbua mara kwa mara? Ni kweli?kichwa kinauma
Ulishajaribu kwenda hospital kucheki?
Pole mkuu. Nimeona chini huko mtu anasema kichwa kinasumbua mara kwa mara? Ni kweli?kichwa kinauma
Sure miil yetu huwa inatoa ishara kwamba kuna kitu hakipo sawa hivyo tuchukue hatuaPole sana, uje uende hospitali ukajue tatizo la kufanya kichwa kiume mara kwa mara ni nini
Umetisha sana chief, naamini wamekusikia kabla hatua kali hazijachukuliwa dhidi yao🤣🤣
Hakika 💯Sure miil yetu huwa inatoa ishara kwamba kuna kitu hakipo sawa hivyo tuchukue hatua
nahisi ni natumizi ya simu ya mda mrefu maan ni kwenye paji la uso mpka macho yanavuta,, issue ni kuacha ndo kamzozo😪Pole sana, uje uende hospitali ukajue tatizo la kufanya kichwa kiume mara kwa mara ni nini
hapana sijaenda mimi ni muoga wa hosp,, enyewe nipo najizungusha kunywa ant pain kuanzia mchana,, nikizifikilia nahisi kutapikaPole mkuu. Nimeona chini huko mtu anasema kichwa kinasumbua mara kwa mara? Ni kweli?
Ulishajaribu kwenda hospital kucheki?
Ohoo ok. Hiko anti pain nazo ni za kumeza mara moja then maji ya kutosha na mapumziko mbali na vifaa vya mawasilianohapana sijaenda mimi ni muoga wa hosp,, enyewe nipo najizungusha kunywa ant pain kuanzia mchana,, nikizifikilia nahisi kutapika
asante kwa ushauri ngoja nijitahidi kupunguza ila sidhani kama nitaweza maana ndo faraja yangu nambari unoOhoo ok. Hiko anti pain nazo ni za kumeza mara moja then maji ya kutosha na mapumziko mbali na vifaa vya mawasiliano
asante kwa ushauri ngoja nijitahidi kupunguza ila sidhani kama nitaweza maana ndo faraja yangu namba
mi siongei ila nachart😅Ok hata mimi kuna kipindi nilikuwa natumia simu kuongea masaa mpaka nasikia kikianza kuzingua natulia kwanza naachana na simu. Inabidi uanze kutafuta replacement kama inawezekana taratibu taratibu 😃😃
Jitahidi upunguze matumizi ya simu yasiyo ya lazima hasa social media, alafu uwe unalala mapema😁nahisi ni natumizi ya simu ya mda mrefu maan ni kwenye paji la uso mpka macho yanavuta,, issue ni kuacha ndo kamzozo😪
shida ni kwamba usingizi ndo kitu sinaga jamni😪Jitahidi upunguze matumizi ya simu yasiyo ya lazima hasa social media, alafu uwe unalala mapema😁
Hakikisha kabla ya kulala punguza mwanga kuanzia screen mpaka taa, mazingira yasiwe ya joto sana hii inasaidia kuleta usingizi mapemashida ni kwamba usingizi ndo kitu sinaga jamni😪
nitajitahidi ila mwanga wa taa naupunguzaje sasa😪Hakikisha kabla ya kulala punguza mwanga kuanzia screen mpaka taa, mazingira yasiwe ya joto sana hii inasaidia kuleta usingizi mapema
unazima za ndani unabakiza za nje tunitajitahidi ila mwanga wa taa naupunguzaje sasa😪