Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,222
Kaweka bonge la kufuli, minyota yote begani lakini bado ana uoga😆😆😆Zama PM, kwani wewe ni nyuki wa mashineni kama sisi?
Wewe ni maneno matupu?
Kaweka bonge la kufuli, minyota yote begani lakini bado ana uoga😆😆😆Zama PM, kwani wewe ni nyuki wa mashineni kama sisi?
Wewe ni maneno matupu?
Tutakupa jiko kinguvu umezidi sana uoga dogo😆😆Mchaga wa wapi huyo sijui, anaongea kama mzaramo.
Hanipi nafasi ya kujitetea eti😔Mchaga wa wapi huyo sijui, anaongea kama mzaramo.
Umenishangaza sana mkuu😂Mimi sishindi humu kweli lakini najua kusoma Haiba za watu. Kama mtapuuzia sawa pia lakini mna kitu kizuri kati yenu, mna bond flani hivi nzuri.
Lakini isiwe kesi kama mioyo yenu bado haijaamua
Kwenye utani ndio kulimo na penzi la kweliUmenishangaza sana mkuu😂
Ule utani tu kaandika sehemu kuhusu mshangazi wake wanaitana babaangu namimi ndio nikapitia mlemle🤭
Leo naona umetuamlia! Sawa tu..Kwenye utani ndio kulimo na penzi la kweli
Why the sad face my friend? Talk to me.Tulisema ni usiku wa manene mbona.. Nchi Gani mlipo wakuu..🥹
Nimemuona tuu moyo wangu umeenda mbiombioWhy the sad face my friend? Talk to me.
Nawapenda tu, nyie wote wadogo zangu sipendi mpate tatizoLeo naona umetuamlia! Sawa tu..
Why the sad face my friend? Talk to me.
Chap chap najua nachosikiliza Mimi nyie hamsikilizi 🙂↕️ Kanisikilizeni Reunited- Wu tang, niliweka intro yangu hapo Ms Roxy..🤣🤣Fake P my dedication to you:
For the love of you by Whitney Houston
Umenikumbusha wu tang Kuna mwamba nilikua namkubali sana ghost face Killa, mtu mbad sanaChap chap najua nachosikiliza Mimi nyie hamsikilizi 🙂↕️ Kanisikilizeni Reunited- Wu tang, niliweka intro yangu hapo Ms Roxy..🤣🤣
Its wuuu mthffkeeeer
Wu Tang mthfkeeeeeer
Tunashkuru kutupenda!Nawapenda tu, nyie wote wadogo zangu sipendi mpate tatizo
Fake P bwana, mara nyingi hata sikuelewi napenda vibe lako tu.Chap chap najua nachosikiliza Mimi nyie hamsikilizi 🙂↕️ Kanisikilizeni Reunited- Wu tang, niliweka intro yangu hapo Ms Roxy..🤣🤣
Its wuuu mthffkeeeer
Wu Tang mthfkeeeeeer
Pacha wangu (fraternal) Yani ni Odb mtupu 🤣🤣🤣 ndio alifanya nikawajua Hawa..Umenikumbusha wu tang Kuna mwamba nilikua namkubali sana ghost face Killa, mtu mbad sana
Huyo oogo nimetoka nae mbali sana, alafu hood mojaTunashkuru kutupenda!
Username sijabadili.. I'd ya back up ni Raine Col. Basi ogopa tapeliFake P bwana, mara nyingi hata sikuelewi napenda vibe lako tu.
Na siku hizi naona umekuwa shapeshifter! By day one form, by night another. Unabadili usernames tu.🙂
Haya kijana wetu huyo wa uchagani kakuelewa.
Dogo una touch kali sana kama za Messi🙌Fake P bwana, mara nyingi hata sikuelewi napenda vibe lako tu.
Na siku hizi naona umekuwa shapeshifter! By day one form, by night another. Unabadili usernames tu.🙂
Haya kijana wetu huyo wa uchagani kakuelewa.