mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,805
Tunakesha mamaangu, hatulazi damu!Leo haukeshi babaangu? mshamba_hachekwi 😎
Tunakesha mamaangu, hatulazi damu!Leo haukeshi babaangu? mshamba_hachekwi 😎
mdogo wangu huyu wa mbali sana! namrefer kwenye maneno yake mazuri tu kanikosha usiku wa leo!kwa kifupi yuko vizuri 😎Sorry asee, nilijua tayari couple😆
😎"mumamaz" ni balaa.
Kijana unashughulika, ukianza kuhema unawekewa "nyonyoz" mdomoni unyamaze.
Unakumbatiwa, cuddles za kutosha, unarudi utotoni yaani.

Wapi wewe jana ulikimbia uzi!Tunakesha mamaangu, hatulazi damu!
Mnaendana sana na huyu dada seran, basi tuu mmeamua iwe utani. Mnajichelewesha wenyewe. Chochote mtachoamua nawaunga mkono😆hahaa master kama master! mtaalam wa hizi kazi...
heshima yako mkuu.
Dooh! hapana aisee kijana ana koloni lake tayari tayari huko, na anajua mi na ye hatutaezana!Mnaendana sana na huyu dada seran, basi tuu mmeamua iwe utani. Mnajichelewesha wenyewe. Chochote mtachoamua nawaunga mkono😆
Yupo vizuri sana upstairs, mambo ya umri sio issue ni namba tu hizo. Lakini mtachoamua mm nawaunga mkonomdogo wangu huyu wa mbali sana! namrefer kwenye maneno yake mazuri tu kanikosha usiku wa leo!kwa kifupi yuko vizuri 😎
😎![]()
Mkuu, umekazania sana kutuunga mkono! 😄 mimi kwangu ni issue sana, kijana wa watu huyu, kwahiyo haitowezekana!😆Yupo vizuri sana upstairs, mambo ya umri sio issue ni namba tu hizo. Lakini mtachoamua mm nawaunga mkono
Naona umemshtua afande hapo...Mnaendana sana na huyu dada seran, basi tuu mmeamua iwe utani. Mnajichelewesha wenyewe. Chochote mtachoamua nawaunga mkono😆
Kuwezana mnawezana sana, labda issue iwe hilo koloni lake. Kama akisema anachana nalo hapo vipi?Dooh! hapana aisee kijana ana koloni lake tayari tayari huko, na anajua mi na ye hatutaezana!
Afande toka azinguane na feli siku hizi Kawa kauzu sana hadi naogopa🥲Naona umemshtua afande hapo...
Mambo yenu ya mguu pande, mguu sawa😅
Ataelewa tu.
Wewe ndo ulikimbia mamaangu baada ya kuishiwa kiwi.Wapi wewe jana ulikimbia uzi!
Dah aliache aende wapi? mkuu hatujawahi kuwa hata na hilo wazo, tuna heshimiana sana! au umelewa, we huwa hushindi humu umetoa wapi hayo mawazo ya kuwa tunaendana?😂Kuwezana mnawezana sana, labda issue iwe hilo koloni lake. Kama akisema anachana nalo hapo vipi?
Roho inaniuma sana kuona watu wawiwli ambao wanaendana alafu wanashindwa kuwa couple. Daah huwa inaniuma sana😭jaribuni, ikishindikana basi haijapangwa iwe
Nilipata kiwi, nimeenda kunywa maji kurudi nikazimika!😁Wewe ndo ulikimbia mamaangu baada ya kuishiwa kiwi.
Lazima niwaunge mkono Kuna kitu kizuri nimekiona kati yenu, jaribuni hata mwezi TU mtakija kuniambiaMkuu, umekazania sana kutuunga mkono! 😄 mimi kwangu ni issue sana, kijana wa watu huyu, kwahiyo haitowezekana!😆
Zama PM, kwani wewe ni nyuki wa mashineni kama sisi?Afande toka azinguane na feli siku hizi Kawa kauzu sana hadi naogopa🥲
Tulia mkuu, 😅Lazima niwaunge mkono Kuna kitu kizuri nimekiona kati yenu, jaribuni hata mwezi TU mtakija kuniambia
Mchaga wa wapi huyo sijui, anaongea kama mzaramo.Tulia mkuu, 😅
Mimi sishindi humu kweli lakini najua kusoma Haiba za watu. Kama mtapuuzia sawa pia lakini mna kitu kizuri kati yenu, mna bond flani hivi nzuri.Dah aliache aende wapi? mkuu hatujawahi kuwa hata na hilo wazo, tuna heshimiana sana! au umelewa, we huwa hushindi humu umetoa wapi hayo mawazo ya kuwa tunaendana?😂
Usiwe kama sarafu (coins).
Hata zikiwa ndani ya mfuko wa suruali au pochi, lazima utazisikia zikipigana kelele. Unajua kwanini? Kwasababu thamani yake ni ndogo, kwahiyo zinapiga kelele ili tu watu wajue kuwa na zenyewe zipo kwenye mjengo.