Binkcarter
JF-Expert Member
- Jul 23, 2014
- 415
- 466
Nadhani ValiumNakumbuka yule dada alisema: kwenu kuna mgonjwa nn maana izi dawa wanazitumia wagonjwa (kumbe wa akili) akiwa msumbufu anapewa ili alale
Dah.. mwanangu. Hiyo pisi inaonekana mahusiano yenu anayachukulia poa sana… ukajibu nini?Kesho yake simple tu asubuhi kama saa 4 akanitext..
Morning, umeamkaje, naenda driving
Uwa anasoma driving school...
Oya nimemtezt zaidi ya msg 100, calls zaidi ya 50 ila amejibu ivo asubuhi