Nelly
JF-Expert Member
- Jan 25, 2020
- 5,688
- 11,202
Wanasema "Wavuta bangi ni watu smart kuanzia mentally,physically na hata appearance zao" Hawa akina dullah sjui sele ndo vichaa na wahuniKama mwehu ni mwehu tu.😁
Wanasema "Wavuta bangi ni watu smart kuanzia mentally,physically na hata appearance zao" Hawa akina dullah sjui sele ndo vichaa na wahuniKama mwehu ni mwehu tu.😁
Niunganishe kwanza, hichi kichwa kimechoka bwanaStage za uwehu zimegawanywa
Kuna uwehu ukifikia wewe sio Makopo tena bali na nnyaa ni chakula chako
Wee sio ikae kichwani Miaka 7. 😪Wanasema "Wavuta bangi ni watu smart kuanzia mentally,physically na hata appearance zao" Hawa akina dullah sjui sele ndo vichaa na wahuni
Unataka uanze kunyongorotoa 😅Niunganishe kwanza, hichi kichwa kimechoka bwana
Kummake£7-10 kwa gram moja
Ndioo Kuna kaka anakujaga macho yamemlegea anasema ametoka kingston namuoneaga wivu.. nataka nimkomeshe na Mimi😂😂😂Unataka uanze kunyongorotoa 😅
Mimi hutumia nikihitaji utulivu wa nafsi na sio kama ulevi ama starehe...Wee sio ikae kichwani Miaka 7. 😪
Mkuu hawawezi kukuambia direct acha bangi😂😂😂Kummake
Nataka huo utulivu na Mimi .Mimi hutumia nikihitaji utulivu wa nafsi na sio kama ulevi ama starehe...
😭😭 kila tunapo sahau huu msiba mnatukumbusha tena. Hakika JLW lilikua ni jukwaa pendwa la watuWakuu hivi jukwaa la Mambo yetu Yale lilishaga futwa nn mbona sioni dalili,muda kidogo sijawa huku
Sema vizuri jukwaa lipo wapi mniunge😭😭 kila tunapo sahau huu msiba mnatukumbusha tena. Hakika JLW lilikua ni jukwaa pendwa la watu
Mi bila hili jukwaa Bora niachane Tu na jf na ndio kilicgonirudisha😂😂😂😭😭 kila tunapo sahau huu msiba mnatukumbusha tena. Hakika JLW lilikua ni jukwaa pendwa la watu
Hadi kaburi lake lilishapitiwa na barabara.. pole sanaMi bila hili jukwaa Bora niachane Tu na jf na ndio kilicgonirudisha😂😂😂
Mtoto mdoooogo! 😂😂Sema vizuri jukwaa lipo wapi mniunge