Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,408
- 102,438
My power kaua sana, hata yule Dem maji tahidi.twende mbele turudi nyuma mkuu hv my power ya msodoki unaionaj mule kaua sana ujue😂 kila day naiskiliza
Rudia ume isikiliza??
My power kaua sana, hata yule Dem maji tahidi.twende mbele turudi nyuma mkuu hv my power ya msodoki unaionaj mule kaua sana ujue😂 kila day naiskiliza
ntaiskiliza vzr napndaga maneno kuntu ya msodok sjui anawazaga nnKali mno
hakuna ngoma ya msodoki ambayo sijawahi kuiskiliza labda alomshrikisha walid ndo ngoma mbovu kutoka kwa msodoki😂😂My power kaua sana, hata yule Dem maji tahidi.
Rudia ume isikiliza??
nakubaliii 45 ya nani...,? 😂😂Mi kitambo sana town mzeeyaa 😂😂😂😂😂😂😂
uskute baba mchungji ww😂😂Mi mjanja mbna 😂😂😂
zile freestyle session aU..?Ukimaliza msikilize lunya na zile episode zake hataree madogo wananipa ryms za kibabe!!
Yooh yooh yoohHili ni style mbaya Baada ya chapter ya ufunuo.
Acha ugoko uta ng'oa miwaya, USI datishwe na mpasuo.
na huwa napita tu, Sina time nayo.hakuna ngoma ya msodoki ambayo sijawahi kuiskiliza labda alomshrikisha walid ndo ngoma mbovu kutoka kwa msodoki😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂uskute baba mchungji ww😂😂
Usha haribu kikao Sasa🤣😂Ukimaliza msikilize lunya na zile episode zake hataree madogo wananipa ryms za kibabe!!
Skanka 😂😂🙌🙌🙌napooza baridi mukulu 😂😂 si bila stater itakua jaUu
😂😂😂 unanpga mikwara ata kama bishoo uhuni nauweza kuliko ubishoo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mi ngumu mzeee ooooh
Wee jikute bishoo alafu ukutane na jeusi hapa
We uki taka kunywa Serengeti, ila maisha safari😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mi ngumu mzeee ooooh
Wee jikute bishoo alafu ukutane na jeusi hapa
kwann mkuu au anatak alete ubishani wa naNi mkali😂Usha haribu kikao Sasa🤣😂
aloooh😂😂Skanka 😂😂🙌🙌🙌
Weee bishoo tuu...😂😂😂 unanpga mikwara ata kama bishoo uhuni nauweza kuliko ubishoo😂
Lunyaa labda kutamba tu, ila mwepesi ka karatasi ya choonikwann mkuu au anatak alete ubishani wa naNi mkali😂
ile nyimbo ni mbofu kama simbana huwa napita tu, Sina time nayo.
😂😂 m muhuni wwWeee bishoo tuu...
😂😂😂😂😂
Ngoja ukutane na kina poor panya wa jela
Oyaaa kuna dogo alijinyea 😂😂😂🙌🙌🙌aloooh😂😂