Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,436
- 92,227
UpoVp? ! Umeme uko upo ? Ama ni swala la kitaifa au Ni hapa hapa nilipo mimi?
Huwa sipend Giza
Ulipo Kuna umeme ?
UpoVp? ! Umeme uko upo ? Ama ni swala la kitaifa au Ni hapa hapa nilipo mimi?
Huwa sipend Giza
Ulipo Kuna umeme ?
Huku umekata nikajua mambo ya gridi ya TAIFA
🤣pole sanaHuku umekata nikajua mambo ya gridi ya TAIFA
Nimeona habar ya mafuriko Arusha (kisongo) Ni balaaa pole yao kwa kweli
Sipendagi GIZA umeme wenyewe hauna dalili ya kurudi
Untu nnyali...upo?0411Hrs
Thursday
11.04.2024
Umesha Rudi muda mrefu 😅🤣pole sana
Mkuu hana bayaNakuona bwana uchira 1 nilikua nasoma Uzi wako ukimuombea msamaha business intelligence 😊😊
Mkuu uliruhusiwa hospital na sasa unaendelea vizuri?Huku umekata nikajua mambo ya gridi ya TAIFA
Nimeona habar ya mafuriko Arusha (kisongo) Ni balaaa pole yao kwa kweli
Sipendagi GIZA umeme wenyewe hauna dalili ya kurudi
Ooh Kumbe?! Afu ukajikausha bila kunipa feedback....Umesha Rudi muda mrefu 😅
Basi ndio maana sikutokea 😅😂Sheeenziii wewe ..... 😁😁😁😋😋😋
Haiwezekani, mi akili kubwa sana (rich brain) siwezi changamana na watu wenye Poor BrainKwani ndugu yangu Poor Brain ana shida ipi 😂😂