Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,801
- 113,362
Salama mkuu kwema?Habari za asubuhi wakubwa
Salama mkuu kwema?Habari za asubuhi wakubwa
Kwema mukubwaSalama mkuu kwema?
Ni kheri shekhe.Kwema mukubwa
Huyo tumnyoe kipara usiku, lazima ata tuamkia tu😀😂Acha dharau...
Acha manyanyaso
Acha masimango
Mi siwezi siwezi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
I miss you mchumba wangu 😀😀😊 DahanTupo mkuu😂😂😂roho began panga mkononi..
Fafanua mkuu mpaka tulio ishia LA NNE B tuelewe😊Wahenga wanasema ukiona kijiji kina masikini wengi hama...
Dah ko nime Baki mwenyewe aisee😀😂, kweli love is not for everybody 😀🤣🤣 speed? We Kaka uwe na huruma...,yaan unataka bado tuwe kwenye useja?
😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌Huyo tumnyoe kipara usiku, lazima ata tuamkia tu😀😂
Aisee hizi dharau 🤔😂🤣, wewe wa kumponda ndugu yangu Poor Brain.Haiwezekani, mi akili kubwa sana (rich brain) siwezi changamana na watu wenye Poor Brain
😂 hata mkinitenga siwazi ila ukweli lazima niwaambie.Aisee hizi dharau 🤔😂🤣, wewe wa kumponda ndugu yangu Poor Brain.
Mbona sisi hatu kutengi akati we ni nusu albinoo, ak.a kubwa la manusu 😂🤣
More love less egoShukran sana mkuu
Yeah not for everybodyDah ko nime Baki mwenyewe aisee😀😂, kweli love is not for everybody 😀
Dalali una vizia Sana😂🤣0411Hrs
Thursday
11.04.2024
I slept with my pillows 🤣😁kakipindi cha holiday haka tunalala na watu
Nili pata, sister Amehlo Ali nipa hints nzuri, nami nika ifanyia marekebisho kidogo ika work outWe Mwambie tu naomba namba yako....namba si tatizo tatizo maelewano🥴
Sikwenda Mimi at first, moja ya marafiki zangu wa kike went to praise her kuhusu uzuri na kupendeza kwakesasa je mambo si ndo hayo 😊😊
kazi ikaisha 😂😂Sikwenda Mimi at first, moja ya marafiki zangu wa kike went to praise her kuhusu uzuri na kupendeza kwake
Then akasema ana kaka anagependa amwone, ili amshawishi kwa mambo mawili.
La kwanza apate mtoto mzuri, second abaya 😊😀
Maana nili waza kwenda kisa abaya tu, inaweza isi tick.kazi ikaisha 😂😂