Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,801
- 113,362
Haya samilia tajiriSawa nimekuelewa vya kutosha mkuu πππππππππππ
Haya samilia tajiriSawa nimekuelewa vya kutosha mkuu πππππππππππ
Fake P habari yako tajiriHaya samilia tajiri
Tajiri atakuwa kanisani, na leo yeye ndie mgeni rasmi amekaa siti za mbele peke yake, baada ya siti alizokaa zimevukwa siti 5 zipo empty hazijakaliwa ili asipate usumbufu.Fake P habari yako tajiri
Hii aiseee kali....Tajiri atakuwa kanisani, na leo yeye ndie mgeni rasmi amekaa siti za mbele peke yake, baada ya siti alizokaa zimevukwa siti 5 zipo empty hazijakaliwa ili asipate usumbufu.
Ndo hapo sasa wakati raha ulisikia kunizidiπ³pole kusex?
Wapumzike kwa amaniTarehe kama ya leo mwaka 1994 ,vikosi vya RPF vinavamia Rwanda na kuwa mwanzo wa mauji ya Kimbari ...Tuwakumbuke jirani zetu..ndugu zetu na Marafiki zetu
Leo analindwa na MunguHii aiseee kali....
Sema naskia leo alitoka na gari private yeye kama yeye au alikua na bodyguard mkuu
π AmenWapumzike kwa amani
Bora umeuliza πHiyo kiss unataka unifanye nini kwani?
Kwenu mlikua na hela! Mlimiliki hadi tvBaba alianza kusema ongeza sauti ya redio ...ilikua usiku wa tarehe 7 mwezi April mwaka 1994 ..tukiwa tumekaa nyumbani tukitazama TvZ movie ya kihindi..ndipo redio inakatangaza juu ya ajali ya ndege iliyowabeba maraisi wawili wa Burundi na Rwanda....
Nikiamka nitaendelea
Salama mkuu umeamkaje?8:48 AM habari za asubuhi
Hahahahaha..94 mbn tv nyumba nyingi tu walikua nazo ?Kwenu mlikua na hela! Mlimiliki hadi tv
Hiyo story nimegundua inakuhusu.....
Ikawaje..Wakati mama anapuza sauti ya tv na kuongeza sauti ya redio..mara simu ya mezani inaita.....Sauti ya mzee ikasikika tena punguza sauti ya redio ...Mama akamwambia kaongelee ndani ( maana kulikua na simu nyingine chumbani kwao ) akaenda kuisikiliza ...mara baada ya habari ile ..Mzee nae akawa katoka sasa hapa kdg alikuwa tofauti...
Vin Vin Vin Hii ipo kimakakati sana naona umeisha chagua upande welcome #Mrs Word1:32 AM Mrs. Word once again your friend is your enemy
Boss intelligent B huyu albin ndo wale watu
Umeamua sasaFake P habari yako tajiri