JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mpenzi...hutoamini kuna muda unachati hadi na viongozi But mtu ukishajua Hii ni jf na ni forum private huwezi kuja piga majungu kitu mlichoongea kwa uwazi na mwenzio public...huwezi...yaan mie katika mamia niliochat nao jf nilipata asiyemstaarabu mmoja tu na niliyekuwa na malengo naye ya kweli....people knows me well lakini sijawahi ona wakija kunipiga majungu jf sasa mtu kakufahamu kipande tu then anakuja kuandikaandika tu private zako hapa.Inashusha hadhi kwa kweli
😂😁😁 Personal interest
 
Mpenzi...hutoamini kuna muda unachati hadi na viongozi But mtu ukishajua Hii ni jf na ni forum private huwezi kuja piga majungu kitu mlichoongea kwa uwazi na mwenzio public...huwezi...yaan mie katika mamia niliochat nao jf nilipata asiyemstaarabu mmoja tu na niliyekuwa na malengo naye ya kweli....people knows me well lakini sijawahi ona wakija kunipiga majungu jf sasa mtu kakufahamu kipande tu then anakuja kuandikaandika tu private zako hapa.Inashusha hadhi kwa kweli
😅😂
 
jichanganye wakupitie, tuliisha zika I' d zetu za 2012-16
emoji23.png
emoji23.png
Hapana cute ni mtu tu anakuwa kukosa heshima
 
Mpenzi...hutoamini kuna muda unachati hadi na viongozi But mtu ukishajua Hii ni jf na ni forum private huwezi kuja piga majungu kitu mlichoongea kwa uwazi na mwenzio public...huwezi...yaan mie katika mamia niliochat nao jf nilipata asiyemstaarabu mmoja tu na niliyekuwa na malengo naye ya kweli....people knows me well lakini sijawahi ona wakija kunipiga majungu jf sasa mtu kakufahamu kipande tu then anakuja kuandikaandika tu private zako hapa.Inashusha hadhi kwa kweli
nina kastory cha kijinga sana, tangia hapo kila kitu nakiacha hapa hapa
emoji23.png
 
Back
Top Bottom