Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,060
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Cha Malawi ilikuwa [emoji91]Ulipiga vodka ya wapi au ulikuwa ni mmea wa nchi gani ule? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Cha Malawi ilikuwa [emoji91]Ulipiga vodka ya wapi au ulikuwa ni mmea wa nchi gani ule? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo ni la muhimu kabisa..Walinzi watiifu kesheni macho na Msimsahau Mungu..
Sio nzuri kwa afya yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Cha Malawi ilikuwa [emoji91]
Leo niko na gomba unataka [emoji23][emoji23][emoji23]Sio nzuri kwa afya yako
Fanya kunipasia mzee. Ila leo nipo doro sana. Sina ghahawaLeo niko na gomba unataka [emoji23][emoji23][emoji23]
Bubble gum unazo lakini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Fanya kunipasia mzee. Ila leo nipo doro sana. Sina ghahawa
Asa mbona kama unataka kunipa nguna bila mboga mzee [emoji3][emoji3][emoji3]Bubble gum unazo lakini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nikupe matembre hayo ukae sawa kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]Asa mbona kama unataka kunipa nguna bila mboga mzee [emoji3][emoji3][emoji3]
Mzee umetisha. Naona upo full
Ndio kikao kimeshaisha hivyo naona watu wamekimbia meza..?
Kinyonge yaaniNgoja nikupe matembre hayo ukae sawa kwanza [emoji23][emoji23][emoji23]
Tulia nikupe uchangamshe mdomo sasa [emoji23][emoji23]Kinyonge yaani
Nimetulia kabisa. Waswahili tukiwa tunakula hatuongei kabisaTulia nikupe uchangamshe mdomo sasa [emoji23][emoji23]
Hapo kulala mpaka mida ya lunch [emoji23][emoji23]Nimetulia kabisa. Waswahili tukiwa tunakula hatuongei kabisa