Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,060
we unapenda mbungi [emoji460] tu.Sifuatilii kikapu ila mshkaji namsoma ... poleni kikapu fellaz
we unapenda mbungi [emoji460] tu.Sifuatilii kikapu ila mshkaji namsoma ... poleni kikapu fellaz
[emoji23][emoji23][emoji23] hivi kuna neno la kizungu stahiki la hobbylesswe unapenda mbungi [emoji460] tu.
[emoji23][emoji23][emoji23] men sijui kwakweli.[emoji23][emoji23][emoji23] hivi kuna neno la kizungu stahiki la hobbyless
Nn we unapenda sana sasa udaku, kusoma vitabu, movies, music au vyupi? [emoji4][emoji23][emoji23][emoji23] hivi kuna neno la kizungu stahiki la hobbyless
Itabidi nitafute bro...[emoji23][emoji23][emoji23] men sijui kwakweli.
Mbona nimemuona juu hapo yupo!Waungwana kama kawaida, yule mrembo akiingia lindoni mnistue.
Kwa hizo options niwekee muziki tu mzee na wenyewe siku hizi kama napoteza ile interest..Nn we unapenda sana sasa udaku, kusoma vitabu, movies, music au vyupi? [emoji4]
Basi gals ndio option inayofuata kwako?Kwa hizo options niwekee muziki tu mzee na wenyewe siku hizi kama napoteza ile interest..
Mzee usinichimbe sana hapa..vitu deep hizo af internet never forgets mzee [emoji23][emoji23][emoji23]Basi gals ndio option inayofuata kwako?
[emoji23][emoji23][emoji23] usiogope kwani kuna mtu unamuwinda humu?Mzee usinichimbe sana hapa..vitu deep hizo af internet never forgets mzee [emoji23][emoji23][emoji23]
Itakuwa nimepishana nae.Mbona nimemuona juu hapo yupo!
Sio yna2 ?Itakuwa nimepishana nae.
Nahisi napenda vitu vingi generally af vitu ambavyo sio common kwa watu wengi mkuu.. nishazoea hilo swali "hobby yako ni ipi"Basi gals ndio option inayofuata kwako?
[emoji23][emoji23] nah mzee.. online kuna mengi sana na jf naiogopa kuliko hata social media zingine. Kuna vitu nyingi sana kwa PM.zinatisha so staki kuwa sehemu ya hizo drama[emoji23][emoji23][emoji23] usiogope kwani kuna mtu unamuwinda humu?
Sio.Sio yna2 ?
mm football kuangalia napenda lakini kucheza naogopa kuumia ni rahisi mno lakini basketball (bball) ndio napenda sana kucheza na enjoy zaidi.Nahisi napenda vitu vingi generally af vitu ambavyo sio common kwa watu wengi mkuu.. nishazoea hilo swali "hobby yako ni ipi"
[emoji23][emoji23][emoji23] acha uwoga dude.[emoji23][emoji23] nah mzee.. online kuna mengi sana na jf naiogopa kuliko hata social media zingine. Kuna vitu nyingi sana kwa PM.zinatisha so staki kuwa sehemu ya hizo drama
[emoji23][emoji23][emoji23] acha uoga.. mpira nilicheza nilipokuwa mdogo (unajua mambo za changanyikeni),mm football kuangalia napenda lakini kucheza naogopa kuumia ni rahisi mno lakini basketball (bball) ndio napenda sana kucheza na enjoy zaidi.
Niamini bro.. kwa nilioyaona na kusimuliwa. Jf sio sehemu cool na huwa yanalipuka watu wakizinguana. Wengine wanakimbia ID's au kufungua ID's mpya za kuchafuana. Drama nyingi af siziwezi[emoji23][emoji23][emoji23] acha uwoga dude.