Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,060
Sio lazima uwebishoo ndio ucheze bball bhana.[emoji23][emoji23][emoji23] acha uoga.. mpira nilicheza nilipokuwa mdogo (unajua mambo za changanyikeni),
basket nna idea nayo maana mabro zangu wawili ndio ulikuwa mchezo wao so, weekend mjiandae kwa crew zao kuja kucheki cd's zao.. wanaiba maujanja, mabrazamen watupu .swaggz za bball