Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,953
Hongeraa sana mkuuNimefika mapema leo
Dah... how's D?[emoji2960]Nimefika mapema leo
He is very fine, thanksDah... how's D?[emoji2960]
Sent using Beretta ARX 160
Si ulisema iron man zoteZipi umepata? ?
Poa vp
Mwanakwaya... saa hii ulitakiwa kufanya final touches zaCoro Corola, mama Corola Corola..
Embe dodo Embe dodo limelala mchangani. Kwa huba na mazoea uwe wangu wa milele.[emoji443][emoji443][emoji443]
😁😁😁😁😁Mwanakwaya... saa hii ulitakiwa kufanya final touches za
Mtakatiiiifu mtakatifu bwana × 2 Mungu wa majeshiiii
Mbingu na nchi zimejaa × 2 , utukufu wako
Hosanaaahhh ohhsanaahh juu mbinguni [emoji4][emoji4]
Miss GoddessNimefika mapema leo
Naruhusiwa kuongeza orodha?Si ulisema iron man zote
Kiukweli sipo religious ila nyimbo za kwaresma ndo nazipenda hadi leo.. zipo spiritual yaani gospel ikiwa imetulia ndio napenda[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Aah no bwana jumamosi jioni ndio mnamaliza rihaso.
Mimi naupenda wimbo wa mwanakondoo wa Mungu, Uondoae dhambi aa Ulimwengu. Utuhurumie.
Kuna jinsi tunaimba haka kawimbo lazima usikie upo mawinguni
Mama D ☺Miss Goddess
😂😂😂😂😂Mama D ☺
Hahaaaaa hiyo D... yupo huyo huyo or ndiye unaempenda zaidiMama D [emoji5]
That's why napenda ukatoliki. Ciz hakuna fujo nyingi kama kwa walokole.Kiukweli sipo religious ila nyimbo za kwaresma ndo nazipenda hadi leo.. zipo spiritual yaani gospel ikiwa imetulia ndio napenda
Mimi siku nkipandwa na mizuka ya gospel huwa sichagui so long as zinasound fresh na ujumbe mzuri.. walokole wana nyimbo za kuabudu pia ni nzuri, same kwa wasabato na dhehebu nyinginezoThat's why napenda ukatoliki. Ciz hakuna fujo nyingi kama kwa walokole.
Napenda sana nyimbo hizo nami