JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimefunua pazia kidogo baada ya machale kunicheza nikachungulia dirishani kwa mbali naona vijana wanne mmoja kama anatoboa nyavu ya dirisha la nyumba ya jirani inayonipa kisogo mwengine ameshika kitu kama spray anapuliza nilichoamua hapa sahivi ni




Kurudishia taratibu pazia


Kurudi kitandani kujifunika shuka kushika simu yangu na kuendelea kuperuz ndo naperuzi taratibu hapa jf


02:03

Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri wageuke na kwako
 
Nimefunua pazia kidogo baada ya machale kunicheza nikachungulia dirishani kwa mbali naona vijana wanne mmoja kama anatoboa nyavu ya dirisha la nyumba ya jirani inayonipa kisogo mwengine ameshika kitu kama spray anapuliza nilichoamua hapa sahivi ni




Kurudishia taratibu pazia


Kurudi kitandani kujifunika shuka kushika simu yangu na kuendelea kuperuz ndo naperuzi taratibu hapa jf


02:03

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha hatari yaan umetulia kama hujui kinatokea nn kwa jirani yako.
 
Back
Top Bottom