JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nini kinafanya jicho kuwasha sana hadi kutamani kulitoa ili ulikune vizuri
Usikune jicho chakufanya hapo weka maji safi kwenye beseni kisha weka uso wako kwenye hayo maji halafu fungua macho, yaani wakati macho yako, yapo ndani ya maji uwe unatazama maji, halafu baada ya hapo lala bila kujishika jicho



It's Scars
 
Usikune jicho chakufanya hapo weka maji safi kwenye beseni kisha weka uso wako kwenye hayo maji halafu fungua macho, yaani wakati macho yako, yapo ndani ya maji uwe unatazama maji, halafu baada ya hapo lala bila kujishika jicho



It's Scars
Loo nimeshayasugua sana.. ni ule upande jicho linakoanza.. pale panapotoa tongo tongo ndio kunawasha hatari.. macho yote mawili. Nisha chokonoa sana na vidole muda huu..
 
Back
Top Bottom