Hahahahaaa mtunzi alikuwa Otieno nini?😉Kuna character nimemsoma secondary kwenye Fasisi..ilikua ni ushairi.
Kibwagizo chaishia Atieno ooooh
Ni kabinti kalikua kanaishi kwa anko wake kakinyanyaswa kwa mujibu wa shairiHahahahaaa mtunzi alikuwa Otieno nini?😉
Super Villain Goddess Aladeen04Habari za Asubuhi (in Qnet's voice), Tangazo, Tangazo, Tangazo
Kesho kutakua na kikao cha kupitisha Wajumbe kwa ajili ya Kamati yetu ya Uzi wetu pendwa.
Tafadhali wote muwepo ifikapo SAA saba usiku, usipange kukosa God willing
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliimbwa na Tabora Jazz BandGuys kuna wimbo wa wahenga nausikiliza hapa wanaimba "Dada Remmy sasa sikiliza,ndio maana ndio maana"
Naona haujaandikwa jina la mwimbaji.. kama kuna anayeujua aniambie jina la mtunzi nitafute zingine
Mapema sana... wengine tupo kwa kitanda tukijiweka fresh kwa lindoWeekend imeanza mapema
Maskini! Ukute kalikuwa kapole kama mimiNi kabinti kalikua kanaishi kwa anko wake kakinyanyaswa kwa mujibu wa shairi
Sawa sawa mkuu tupo pamojaMapema sana... wengine tupo kwa kitanda tukijiweka fresh kwa lindo
Ndio waliimba unaimba..Uliimbwa na Tabora Jazz Band
Kalikua kapole kama mimi basi tu dunia sio mahali salama for decent peoplesMaskini! Ukute kalikuwa kapole kama mimi
Huo sijawahi kuusikia!Ndio waliimba unaimba..
Dada shao umekubali niliyosema ohh, kumbe ooh unayajua ya mjini. Ulinidanganya ooh wacha tamaa...
Halafu mbele kuna kiitikio wanaimba hivi
Eewee yesu (?) Ndio mimi usiyafuate ndio bwana, Ukiyaona ya mjiji yamjini.. upatacho ndio chako kidogo na faida....
Halafu kuna tumidundo tutamu kweli mbele yake. Niko nausikiliza ila hakuna jina la mwimbaji
Kikao kipi tena?kama utakuepo kesho kwenye kikao please nyoosha mkono
Mapema sanakama utakuepo kesho kwenye kikao please nyoosha mkono
Ulizia wahenga wenzio.. maana nimependa uimbaji wa hili kundiHuo sijawahi kuusikia!