Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,060
Tushafikia makubaliono [emoji4][emoji4][emoji4] [emoji115]Labda aamue tu kunisindikiza halafu yeye arudi
Tushafikia makubaliono [emoji4][emoji4][emoji4] [emoji115]Labda aamue tu kunisindikiza halafu yeye arudi
Lift ya kwenda morogoro au[emoji23]sipandi marcopolo wala yutong mm ni scania tuUsilale nitakupa lift [emoji23][emoji23] kesho nakupitia.
Sisi tunaonana na wanga saa hizi
Nitakuja kopa next month [emoji39][emoji39][emoji39]Ntalala aisee maana ile mkesha wa juzi uliniletea majanga asubuh[emoji23][emoji23][emoji23]
Kiruu, umeandika nini sijaelewa naona una lugha ngumu[emoji2960]unajua tunatofautina sehemu
Kabla haujafanya chako
Kuna watu lazima afanye cha mtu akusanye kiasi akiona kina mtosha kusimama yeye na kunyanyua ambacho kilisimama mwanzo halafu kikaanguka
Ndo ataacha ...si unajua mkono mtupu haulambwi?!
Lift ya kwenda morogoro au[emoji23]sioandi marcopolo wala yutong mm ni scania tu
Alfajir kutamu bwanaaa
Unatype in haya tune[emoji23][emoji23]kama muhaya hivi
😎Aurora nitakutafuta mrembo.
Tunasemaga 'kefa' yaan kaisha [emoji23]Malizana nae,ila si unajua mbinu nilizo tumia kumnasa huyo mrembo ?
Sio kuwa unageuzwa?
Achana na mitun mzee huyo skuhizi kuna kina tiger shrof[emoji23][emoji23][emoji23] af mimi sio mpenzi wa movie za kihindi... hizi mtaalamu ni villain, mambo ya mitun chakarabot (sijui ni jina la ukweli)
Lift ya kwenda morogoro au[emoji23]sioandi marcopolo wala yutong mm ni scania tu
Kutana nao ww ibaki siri yako mzee utakosa kukutana nao tena ss[emoji23]True that sijawahi sema hili kokote lakini hao watu nakutana nao sana.
Weeh kufaidushana huko kumeanza liniNaona leo ushindani mkubwa sana,nataka niwaachie wenzangu wafaidi na wao.