simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kushikwa na homa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kushikwa na homa
Siku ukipewa hiyo kitu unaweza faint hata hapo kwenye hayo mabega yake hata nusu saa [emoji23]Hahahaahaahaaha
Njoo huku tukimbize hawa mateja huku uchangamke usifukuzwe kazi.Hahaha pole,
Mie huku nilikopangiwa leo ni amani imetawala nahisi hadi kusinzia
Acha kabisa aiseeee, wakubwa wanafaidiSiku ukipewa hiyo kitu unaweza faint hata hapo kwenye hayo mabega yake hata nusu saa [emoji23]
Sana ndipo nilipokulia huko mzee.Hadi umesema hivyo bhasi uswahilini palikuhusu mkuu
Changamka blood [emoji23][emoji23][emoji23]. Sio sifa nzuri hiyoLoh sijawahi hata shikwa hivyo [emoji22]
mm Captain America wallpaper zake zipo nyingi sana kwenye phone yangu na pcDoctor Strange..
Namkubali sana.. very smart and teaches how the world goes beyond our senses
Same applies.. Hivi hadi mkoani ni uswazini au sehemu za hali ya chini maana nshajiuliza sana. Mkoani baadhi ya sehemu unakuta na wanawake wanapigana asee hawajui hata mambo ya vijola wala kusutanaSana ndipo nilipokulia huko mzee.
Hatimaye na ww umetoa shujaa wako [emoji123]
Hatimaye na ww umetoa shujaa wako [emoji123]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] sawa brother. Endelea kutuongezea kodi
Nafurahi kusikia hivyo.
Leo Simba wamenifurahisha kidogo
Ukiwa smart kichwani basi unaniteka..mm Captain America wallpaper zake zipo nyingi sana kwenye phone yangu na pc View attachment 1315411
Iko hivyo mkuu na ukiyapa nafasi yatakutesa tu[emoji28]Sikopagi pombe Mimi hakuna ninachodaiwa [emoji3] ..yaacha yalie yataondoka yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mm nimekaa sana moro watu kuchambana kupelekeana vigoma kawaida sana kuna mwangu alishaletewa na ex wife wake alisema mke azai akamuacha mke wake akapewa mimba na baharia mmoja hv siku ya kujifungua mbona alimfuata mwana na kigoma alafu mbaya mwana alikuwa yupo om kwetu [emoji23][emoji23][emoji23]Same applies.. Hivi hadi mkoani ni uswazini au sehemu za hali ya chini maana nshajiuliza sana. Mkoani baadhi ya sehemu unakuta na wanawake wanapigana asee hawajui hata mambo ya vijola wala kusutana
Mahero wa kike huwapendi?
Hilo wese mzeee. Siku ukikaribia kupita maeneo hayo itabidi unishtue maana na mimi sitabiriki [emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
Sawa mkuu na ni wajibu wa kila mtanzania kulipia kodi kwa maendeleo ya taifa, hata mawese nitakayokununulia nitalipia kodi vilevile[emoji28]
Sent using OPPO Mobile Phone