Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,060
Hapo ndio hulali tena.
Hapo ndio hulali tena.
Oky leo unakesha ss[emoji4][emoji4][emoji4]au umechoka
[emoji23]mkomee ila mm hata nikute pweza chanika mm nakaa tegeta nitakula nikiharisha basiMwangu alikula mahindi ya buguruni sheli pale sasa siku hiyo nimetokea kkoo namsubiria anichukue na gari stand ya chanika nikaona ninunue muhindi pale nikawa nakula ghafla akaja kunichukua nikamwambia chukua muhindi akaniambia hayo mahindi ya buguruni sili mm aliaharisha hatari aliniambia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahaNimeshtuka nilikuwa usingzn , kupata usingiz tena hapa ni baadae au niamue kuacha kuchezea simu .
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwangu alikula mahindi ya buguruni sheli pale sasa siku hiyo nimetokea kkoo namsubiria anichukue na gari stand ya chanika nikaona ninunue muhindi pale nikawa nakula ghafla akaja kunichukua nikamwambia chukua muhindi akaniambia hayo mahindi ya buguruni sili mm aliaharisha hatari aliniambia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Warembo wapwekeHumu naona warembo tu pekee
Warembo wapweke
Hili tumbo langu halina tatizo mbona mm mahindi haya kunidhuru mbona.[emoji23]mkomee ila mm hata nikute pweza chanika mm nakaa tegeta nitakula nikiharisha basi
Mm kwa mamanitilie pekeangu sili .Hahaha buguruni sio nilikula chakula kwa mama lishe pale , rafiki aliinsit nile kiubishi ila sikuwa comfortable mazingira hayakuwa poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Buguruni ukiwa muoga huwezi kula kabisa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] yataka moyo kula pale.Hahaha buguruni sio nilikula chakula kwa mama lishe pale , rafiki aliinsit nile kiubishi ila sikuwa comfortable mazingira hayakuwa poa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachelewa bwana mpaka usingizi umeanza kujaNdio maana nimekuja kuwaondolea upweke.
Hili tumbo langu halina tatizo mbona mm mahindi haya kunidhuru mbona.
Acha uwoga ww [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mm kwa mamanitilie pekeangu sili .
Ila nishakuna kama mara3 kwa shinikizo la watu[emoji23] kuna ile kuchambwa na mdada eti unaringa halafu mtu upo offcn kwake hnaona tu ngoja nile
Unachelewa bwana mpaka usingizi umeanza kuja
Mm msosi ukiwa wabaridi ndio huwa nakuwa na hofu lakini kitu kikiwa chamoto napiga tu.Hongera mm tumbo langu halitaki kabisa kitu kichafu . npo selective mno kwny kuchagua ili badae nisihangaike
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm kwa mamanitilie pekeangu sili .
Ila nishakuna kama mara3 kwa shinikizo la watu[emoji23] kuna ile kuchambwa na mdada eti unaringa halafu mtu upo offcn kwake hnaona tu ngoja nile