Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,413
- 36,574
Yeah sure,mambo ya kujudge Dini ya mtu huwa inanikasirisha sana maana Mimi marafiki zangu wa karibu kila mmoja anaimani yake,na hatujawahi kukwazana kwa Dini zetuHiyo ndiyo misingi bora ya maisha, so far huwa naamini matendo ndiyo bora zaidi kuliko dini hizi. Hata kama uko kwenye dini sahihi lakini judgement ni kuhusu matendo yako.
Lindo limelala
hata mimi nimeshangaaLindo limelala
Zamu yangu kufunga geti leoKaribu lindoni. Tunapokezana.
Yaaaani waamshe basi wale dakuUzi haujapitiwa kwa dakika kumi zilizopita. Mnalala sana Aisee!!!
By Popo mstaafu
Mimi nasemaga kila siku. Dini ni co incidence tu ya wazazi. Maana ungezaliwa na familia ya dini nyingine ungekuwa huko huko.Kuna wakati unaweza kulaani hizi issue za dini. Maana kwanza hakuna mwenye uhakika kama amepatia, unakuta tunabaguana kwa kila mmoja kuona kama ya kwake ndiyo sahihi.
Mimi huwa nauliza swali kwamba ungezaliwa na wazazi wa imani tofauti ingekuwaje? So ungewafata?
KaribuHeloooo
Hujambo mremboKaribu
Dada yake mzima pia