skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,390
Au nilikosea kukujibu inshaallah kwenye alhamdulillah? Tukumbushane yaliyo mema inshaallahmbona umesema inshaallah
Au nilikosea kukujibu inshaallah kwenye alhamdulillah? Tukumbushane yaliyo mema inshaallahmbona umesema inshaallah
in sha Allah ni sawa na kusema Mungu akipenda, Allah akijaalia ulipaswa kusema labda mashallah au kuendelea na habar zingine au kusema hivi umesema hapa, umeelewa eh?Nilikutakia kheri katika kumshukuru Allah,,
Sawa nimeelewa vema lete khabarin sha Allah ni sawa na kusema Mungu akipenda, Allah akijaalia ulipaswa kusema labda mashallah au kuendelea na habar zingine au kusema hivi umesema hapa, umeelewa eh?
hata sina habar, shukran kwa kuelewaSawa nimeelewa vema lete khabar
Ucjali maana ni jambo jema kukumbushanahata sina habar, shukran kwa kuelewa
hakika, umesema sawaUcjali maana ni jambo jema kukumbushana
Sema usikike mkuuNimepitia comments zote humu nataka kusema kwamba..
Labda anajiandaa kuja labda umuite pengine akakusikiaKuna mtu simuoni humu...!
Ngoja nimpe muda kwanza...!Labda anajiandaa kuja labda umuite pengine akakusikia
Nimeitika....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Kuna mtu simuoni humu...!
Hoja gani tena,, au ndiyo ndoto unaotaNaUnGa mKoNo hOjA....[emoji30][emoji30][emoji30]
Tipooo!!Mpo ?
Hujaitwa bro !Nimeitika....[emoji39] [emoji39] [emoji39]
Hoja ya usiku mneneHoja gani tena,, au ndiyo ndoto unaota
Isome hadharani mkuuHoja ya usiku mnene