Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,871
Litamke upendavyo. ...Uniletee jojo bibie ?!
Ukirudi itabidi unifundishe kutamka jina lako.
Litamke upendavyo. ...Uniletee jojo bibie ?!
Ukirudi itabidi unifundishe kutamka jina lako.
Sijakwambia,wewe mimi sio kaka ako usitake kuniwekea vikwazo.
Kweli lakini. ...
Haya unikute njia panda
Umeniagiza nini tena? Fanya unikumbushe?Sijakwambia,wewe mimi sio kaka ako usitake kuniwekea vikwazo.
Mimi Amu nitamalizana nae kimpango wetu. Wewe leta nilichokuagiza.
Nisije nikauokota ulimi wangu kwenye kolomeo.Litamke upendavyo. ...
Jojo.Umeniagiza nini tena? Fanya unikumbushe?
Njoo mwenyewe vifaa utaamsha watu saa hizi.....kimya kimyaHaya, nakusanya kusanya vifaa hapa.
Nimeitika mkuu...[emoji30][emoji30][emoji30]Na wewe jamani.....
zurri bana mara hii muonekano wa chura hauna maana wakati ndo ulipagawa naoChura fahari ya macho tu kwetu sisi tuna wajua wanawake vilivyo. Ila katika kuholomboka chura haina ziada... Hi kwetu sisi waungwana.
Kiukweli wewe mjamaa nimekumiss ujue.Hizi siku chache nime underperforming, nadhani ni kwa sababu sijachukua likizo muda mrefu.
mtu chake anatoa likizo kwa jinsia moja tu
Kumbe imetoka kwa zurri baruaamu ndio huyo kajaa tele...msomee barua yake
Unaweza sema bi-badeNisije nikauokota ulimi wangu kwenye kolomeo.
Kama hivi nini "bababbadeeee" sio ?
Chura haijanipagawisha. Rangi ndio imeniteteresha nikayumba aisee,laiti huyo angekuwa wewe....Daaaah,huwa napenda vitu vizuri sana sijui ingekuwaje.zurri bana mara hii muonekano wa chura hauna maana wakati ndo ulipagawa nao
Kiukweli wewe mjamaa nimekumiss ujue.
Kumbe imetoka kwa zurri barua
Jojo hapana. Utaoza meno.Jojo.
Hapo umenisaidia pakubwa sana.Unaweza sema bi-bade
Mara moja kwa mwaka sio mbaya. Wewe letaaaaa !Jojo hapana. Utaoza meno.
Nimependa font ya signature yako.Nimeitika mkuu...[emoji30][emoji30][emoji30]
AiseeeChura haijanipagawisha. Rangi ndio imeniteteresha nikayumba aisee,laiti huyo angekuwa wewe....Daaaah,huwa napenda vitu vizuri sana sijui ingekuwaje.
KaribuHapo umenisaidia pakubwa sana.
Kwani kuna jipya hapo ?Aiseee
Bora ungeomba...hiyo leta utasubiri sanaMara moja kwa mwaka sio mbaya. Wewe letaaaaa !