tamuuuuu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 22,758
- 31,123
Hah Sana yani,me hadi kulia.Hahaha, tulikuwa tunateseka kama vile ni kweli.
Mimi nilikuja kushangaa namwona yule mniga wa predator kwenye movie nyingine, napo akafa.
Nilivyorudi nyumbani namuuliza mdingi kwa nini jamaa afe mara 2? Mzee ananiambia hizo movie in uongo. Wanatengeneza, nikawa simwelewi.
Check mambo hayo,namwelewa sn huyu mtu hasa mateke
Sent using Jamii Forums mobile app