Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,658
Mimi nipo huku Nyamagana kwa mtogole, karibu na Makole jirani kabisa na kituo cha mabasi ya Ushirombo pembeni mwa Bagamoyo road!Nielekeze nije kula maana kwa njaa hii sitaweza kulala
Mimi nipo huku Nyamagana kwa mtogole, karibu na Makole jirani kabisa na kituo cha mabasi ya Ushirombo pembeni mwa Bagamoyo road!Nielekeze nije kula maana kwa njaa hii sitaweza kulala
Nielekeze hapa hapa bwana, mbona mimi nimeomba msaada hadharaniNakuja kukuelekeza PM
Unaota nini? Kwani jua bado linawaka Dodoma?Naotaaa
Nipo hapa city center mwanzaNielekeze hapa hapa bwana, mbona mimi nimeomba msaada hadharani
Haya nakuja. Chakula chenyewe ni nini? Maana nisijepoteza muda kumbe chakula chenyewe ni ......Nipo hapa city center mwanza
Lindo halihitaji ulale hivyo kama hutaweza kulala kwa sababu ya njaa ndo vizuri lindo litakuwa salamaNielekeze nije kula maana kwa njaa hii sitaweza kulala
We unapenda nini ?utakacho utapikaHaya nakuja. Chakula chenyewe ni nini? Maana nisijepoteza muda kumbe chakula chenyewe ni ......
Nitalinda vipi nikiwa na njaa? Wacha tu nikale kwa Luca au nije kula kwako?[emoji12]Lindo halihitaji ulale hivyo kama hutaweza kulala kwa sababu ya njaa ndo vizuri lindo litakuwa salama
Usije kuwa unaota kipigo cha mbwa koko maana we si upo jirani na hiyo cjui wanamwita maloto a.k.a MZEE wa mbwa kokoNaotaaa
Naota misukule inaniitaUnaota nini? Kwani jua bado linawaka Dodoma?
Niandalie ndizi samaki, nakuja fasta![emoji39] [emoji39] [emoji39]We unapenda nini ?utakacho utapika
Kilichopo ni wali, samaki,ndizi, na juice
Jikoni kuna viazi vya chips,kwenye friji kuna nyama na mchicha
Haahahhaha naota misukule ya mme wanguuuUsije kuwa unaota kipigo cha mbwa koko maana we si upo jirani na hiyo cjui wanamwita maloto a.k.a MZEE wa mbwa koko
Nilikuonya mdogo wangu usiolewe na mshana wewe ukang'ang'ania sasa ona unayoyapitia![emoji23]Naota misukule inaniita
Wahi vipo mezaniNiandalie ndizi samaki, nakuja fasta![emoji39] [emoji39] [emoji39]
Haina shida, nitakulisha nikishiba![emoji23]Wahi vipo mezani
Nilikua sijala utanilisha coz ulivosema unakuja nimepata apetite
Ilimradi tu unilishe[emoji39]Haina shida, nitakulisha nikishiba![emoji23]
Kwamba hicho kijiko kimoja nitakuwa nimeshashiba au? Mbona una masharti kama baba mwenye nyumba wangu?[emoji848]Ilimradi tu unilishe[emoji39]
(Kijiko cha kwanza kula wewe ,chapili nipe mimi)
[emoji23] no, i meant to say, ukishiba utanilisha tuKwamba hicho kijiko kimoja nitakuwa nimeshashiba au? Mbona una masharti kama baba mwenye nyumba wangu?[emoji848]
Hapo sawa, haya nielekeze nashukia kituo gani cha basi kabla ya kupanda bodaboda[emoji23] no, i meant to say, ukishiba utanilisha tu