Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,261
- 72,431
kumekuchaa
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona umeamua na dadako mnipiku sasa. Kitu gani hicho na mie nikijueNishaona. Nitakuroga nakwambia endelea tuuMscheeewwUmalaya tuuNimeshindwa hata cha kuandika. Sawa lakiniNaona bwana anakupenda sana. Karibu tumlee wote mume wetu Mr Miller
Solee nimewajibu saa hizi team popo
picha linaanzia hapaaaMnanichanganya bwana.....
1.Mr Miller uko na mumu au Mzigua 90?
2. Iceman 3D uko na Neybright au Dina?
3.Ney uko na Iceman au Joseverest?
4.Kichwa Kichafu unampenda jje's au carba.....?
5.Maserati uko na Manga ML au na Spade 4 spade?
6.Demiss umeshaachana na HB wa Kigogo baada ya kumpata Jr au uko nao wote?
7. Inna umeamua kurudiana na Ivunga na kumwacha dingimtoto au ni vip?
Nipeni majibu maana nachanganyikiwa sijui nani shemeji wala wifi humu
hunter leo mapemaaa unaagaUsiku Mwema wakuu wote
Ahhahaha nimecheka sana mwenzaaa loooh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona umeamua na dadako mnipiku sasa. Kitu gani hicho na mie nikijueNishaona. Nitakuroga nakwambia endelea tuuMscheeewwUmalaya tuuNimeshindwa hata cha kuandika. Sawa lakiniNaona bwana anakupenda sana. Karibu tumlee wote mume wetu Mr Miller
Solee nimewajibu saa hizi team popo
Hulali?kumekuchaa
We Thad banaaa. Mie niulize baba chanja.Mnanichanganya bwana.....
1.Mr Miller uko na mumu au Mzigua 90?
2. Iceman 3D uko na Neybright au Dina?
3.Ney uko na Iceman au Joseverest?
4.Kichwa Kichafu unampenda jje's au carba.....?
5.Maserati uko na Manga ML au na Spade 4 spade?
6.Demiss umeshaachana na HB wa Kigogo baada ya kumpata Jr au uko nao wote?
7. Inna umeamua kurudiana na Ivunga na kumwacha dingimtoto au ni vip?
Nipeni majibu maana nachanganyikiwa sijui nani shemeji wala wifi humu
Nitalala muda sio mrefuHulali?
At least upo unae nikumbuka. Nipo kaka angu..mumu wangu umemuacha wapi? dada Maserati? mwalimu Neybright?
Na kwako piaUsiku Mwema wakuu wote
Iiiifiiii[emoji8] [emoji8]@Mzigua90 huna nafasi katika hilo pendo kuna pendo la Bwana.
Habari za ubize?At least upo unae nikumbuka. Nipo kaka angu..
Swalama,habari ya weye?Habari za ubize?
WizooooIiiifiiii[emoji8] [emoji8]