JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Leo naona zamu ya bi Mdogo mzigua eeh,.huwa naaga mapema,.muda huo wapendanao huwa wanafanya yao humu[emoji23] [emoji23] [emoji23] mm sipendi kuwa mpenzi mtizamaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmwah mmwahh
Naona umeamua na dadako mnipiku sasa.
Mzigua kuna kitu hajakuzidi.
Otea mwenyewe
Kitu gani hicho na mie nikijue
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzigua asione tuu,.
Nishaona. Nitakuroga nakwambia endelea tuu
Yule sasa hivi chicha nimemuacha kalala ndani ya bito
Mscheeeww
Nitafute whatsapp.
Mwambie mumu pia anipe namba take ya whatsapp inbo.
Yani JF nzima yy tu ndio hana ndio maana anapitwa na mengi
Umalaya tuu
Ndio nakupenda mumu
Nimeshindwa hata cha kuandika. Sawa lakini
Nataka unipende kama yeye,maana unampenda sana yulee[emoji24] [emoji24] [emoji24]
Naona bwana anakupenda sana. Karibu tumlee wote mume wetu Mr Miller

Solee nimewajibu saa hizi team popo
 
Back
Top Bottom