yuleyulenimewachokaa
Senior Member
- Nov 8, 2014
- 146
- 32
Angeanza na familia yake aliyoitelekeza kisa kimada.
Unatafuta bwana....?
Angeanza na familia yake aliyoitelekeza kisa kimada.
Unamaanishi nn mkuu......:what:Dr slaa asingezulumiwa, Tanzania ya Leo isingekuwa inapumulia mashine
Ikiwa ni mwaka kamili hadi pale tutakapompata rais mpya, tassisi ya TWAWEZA ilitoa ripoti ambayo wengi hawakukuliana nayo. Nasi kama raia ambao wanapenda ukweli, sinabudi kuanzisha huu uzi kuangalia ukweli kwamba uchaguzi ukiitishwa leo kati ya Dr. Slaa, Edward Lowassa, Mizengo Pinda na Samwel Sitta nani atashinda?
Tafadhalini kila mwanajukwaa aliyesajiliwa apige Kura tujue mbivu na mbichi wa TWAWEZA
Mkuu MSALANI
Mpe kura yako Dr.Slaa kwenye hii uu uzi wa kijiwe cha Chadema mimi pia nimempa lakini kazi ipo uraiani huko ndiyo kuna kuburi la Chadema.
maoni ya wananchi(twaweza) vs maoni ya jf(ubinafsi,unaopenda kuambiwa wanachopenda kusikia),ukiwa tofauti,unaonekana unatumika,inataka kufanana maoni ya rasimu ii(tume ya katiba-wananchi) vs maoni ya wabunge(wabinafsi),
washabiki na viongozi wa chadema hawapendi kuambiwa ukweli(kukosolewa),nakumbuka kuna siku gazeti la raia mwema liliwakosoa,wakadai limenunuliwa,kunakipindi walishutumu jf imenuliliwa,kuna kipindi walishutumu itv,yaani wao wasikolewe
Mzee kibo mbona hizi kura za wazi anashinda dr slaa, zile za zitto na twaweza anashinda lowas? Au kuna kasiri hapo kamejificha?
Yawezekana kukawa na kasiri hapo......😀
Dr.slaa, president
Dr Mwakyembe
mwigulu Nchemba
Asha Rose