JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

JamiiForums Members Vs. TWAWEZA Tutafute Ukweli

Uchaguzi Wa Urais Ukiitishwa Leo Nani atashinda?


  • Total voters
    273
  • Poll closed .
Mods isije kuonekana mnamuhujumu mzee wetu Dr.Slaa,hizi kura za majina zihesabiwe,
 
Dr. slaa



Ndio rais wawatanzania wote ukikataa kajinyonge
 
Binafsi nakubali sana utendaji wa Lowassa ila affectionaly namkubali Dr. Slaa.. Ila huu utafiti ningeshauri kungekuwa na kigezo kwamba wanaopiga kura labda wale ambao wana zaidi ya mwaka au mwezi humu.. Zaidi ya hapo zitatengenezwa Id nyingi by mtu mmoja. Then utafiti becomes useless and senseless..

hata Shy land ni id mpya hahahahaha,
na mimi nasema dr. slaa anafaa kuwa rais hata leo
 
Last edited by a moderator:
Kati ya hao waliotajwa cjamuona hata 1, hv nyie mnafikili urais ni kama chama cha mpira??, c slaa, edo, pinda may b mwingine tofaut na hao.
 
Zitto toa maoni yako kwenye kura ya maoni ya jamii forum
 
Back
Top Bottom